kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Demokrasia lazima ionekane ikitendeka kwenye taasisi zote za umma ikiwemo TFF.
Kwanini changuzi za TFF wenyeviti wanapita bila kupingwa kwenye nchi yenye watu zaidi ya elfu 60?
Rais wa TFF Bw. Karia kapita bila kupingwa na mwenyekiti wa bodi ya ligi Bw. Mnguto Nasikia nae anapita bila kupingwa. Kulikoni?
Kwanini changuzi za TFF wenyeviti wanapita bila kupingwa kwenye nchi yenye watu zaidi ya elfu 60?
Rais wa TFF Bw. Karia kapita bila kupingwa na mwenyekiti wa bodi ya ligi Bw. Mnguto Nasikia nae anapita bila kupingwa. Kulikoni?