Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Mgombea Urais na chama chake anakua hana sifa za kutosha, hana ushawishi, hana sera mbadala, wala mikakati mizuri ya kuongoza au wapiga kura hawamuelewi badala yake wanawaelewa zaidi wagombea wabunge pamoja na pengine madiwani?
Una maoni gani juu ya hali hii.
Una maoni gani juu ya hali hii.