Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Fikiria Mwijaku, alovujisha picha za ngono akimuingilia yule dada kinyume na maumbile, Hadi Leo Dada hayuko Kwa Raman, Mwijaku akaonekana Shujaa machon pa CCM Leo ndo anaongoza kusifiaaaa .
Fikiria Baba levo, huyu vituko vyake tangu akiwa Diwani Hadi Leo ,ni vingi ,naye kaamua Kumsifiaa na kudai anamtangaza.
Steve Nyerere, wakuitwa Usalama ( unajiuliza ndo tumefika ) maarufu kama kuwadi ,huyu naye visaa vyake ninvya kushanta.
N.k
Yaan Kwann Usifiwe na kundi hili hili la watu na wewe ubaki unacheka Cheka?.
Hapa mwenye tatizo ni nani?.
Fikiria Baba levo, huyu vituko vyake tangu akiwa Diwani Hadi Leo ,ni vingi ,naye kaamua Kumsifiaa na kudai anamtangaza.
Steve Nyerere, wakuitwa Usalama ( unajiuliza ndo tumefika ) maarufu kama kuwadi ,huyu naye visaa vyake ninvya kushanta.
N.k
Yaan Kwann Usifiwe na kundi hili hili la watu na wewe ubaki unacheka Cheka?.
Hapa mwenye tatizo ni nani?.