Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kuwa CCM imekuwa kokoro inachukua kila aina ya uchafu, watu wote wa hovyo na waovu nchi hii wamekimbilia CCM ili kupata kinga ya maovu yao.Fikiria Mwijaku, alovujisha picha za ngono akimuingilia yule dada kinyume na maumbile, Hadi Leo Dada hayuko Kwa Raman, Mwijaku akaonekana Shujaa machon pa CCM Leo ndo anaongoza kusifiaaaa .
Fikiria Baba levo, huyu vituko vyake tangu akiwa Diwani Hadi Leo ,ni vingi ,naye kaamua Kumsifiaa na kudai anamtangaza.
Steve Nyerere, wakuitwa Usalama ( unajiuliza ndo tumefika ) maarufu kama kuwadi ,huyu naye visaa vyake ninvya kushanta.
N.k
Yaan Kwann Usifiwe na kundi hili hili la watu na wewe ubaki unacheka Cheka?.
Hapa mwenye tatizo ni nani?.
Wasanii wao kutwa kuselebuka na mashogaFikiria Mwijaku, alovujisha picha za ngono akimuingilia yule dada kinyume na maumbile, Hadi Leo Dada hayuko Kwa Raman, Mwijaku akaonekana Shujaa machon pa CCM Leo ndo anaongoza kusifiaaaa .
Fikiria Baba levo, huyu vituko vyake tangu akiwa Diwani Hadi Leo ,ni vingi ,naye kaamua Kumsifiaa na kudai anamtangaza.
Steve Nyerere, wakuitwa Usalama ( unajiuliza ndo tumefika ) maarufu kama kuwadi ,huyu naye visaa vyake ninvya kushanta.
N.k
Yaan Kwann Usifiwe na kundi hili hili la watu na wewe ubaki unacheka Cheka?.
Hapa mwenye tatizo ni nani?.
Labda kampasua,maana boss wake ana ukaribu sana na mchkUsisahau pia kuwa BabaLevo alitaka kumzalia Chibu Dangote.
View attachment 3236321
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
HahaFikiria Mwijaku, alovujisha picha za ngono akimuingilia yule dada kinyume na maumbile, Hadi Leo Dada hayuko Kwa Raman, Mwijaku akaonekana Shujaa machon pa CCM Leo ndo anaongoza kusifiaaaa .
Fikiria Baba levo, huyu vituko vyake tangu akiwa Diwani Hadi Leo ,ni vingi ,naye kaamua Kumsifiaa na kudai anamtangaza.
Steve Nyerere, wakuitwa Usalama ( unajiuliza ndo tumefika ) maarufu kama kuwadi ,huyu naye visaa vyake ninvya kushanta.
N.k
Yaan Kwann Usifiwe na kundi hili hili la watu na wewe ubaki unacheka Cheka?.
Hapa mwenye tatizo ni nani?.