Kwanini chawa wengi wana makando kando mengi?

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Fikiria Mwijaku, alovujisha picha za ngono akimuingilia yule dada kinyume na maumbile, Hadi Leo Dada hayuko Kwa Raman, Mwijaku akaonekana Shujaa machon pa CCM Leo ndo anaongoza kusifiaaaa .


Fikiria Baba levo, huyu vituko vyake tangu akiwa Diwani Hadi Leo ,ni vingi ,naye kaamua Kumsifiaa na kudai anamtangaza.

Steve Nyerere, wakuitwa Usalama ( unajiuliza ndo tumefika ) maarufu kama kuwadi ,huyu naye visaa vyake ninvya kushanta.

N.k

Yaan Kwann Usifiwe na kundi hili hili la watu na wewe ubaki unacheka Cheka?.

Hapa mwenye tatizo ni nani?.
 
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kuwa CCM imekuwa kokoro inachukua kila aina ya uchafu, watu wote wa hovyo na waovu nchi hii wamekimbilia CCM ili kupata kinga ya maovu yao.
 
Wasanii wao kutwa kuselebuka na mashoga

Ova
 
Haha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…