Kwanini cheo cha Kafulila asipewe Lwakatare?

Geza Ulole

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2009
Posts
65,136
Reaction score
91,917
Jamani huu ni muda muafaka wa kujipanga vizuri ýaani kama daladala anatoka mtu anaingia mtu! Inaonyesha baadhi ya vijana wana ndoto za madaraka tu! Wakishindwa kuyapata basi wana-quit!
 
Kwani kila mtu kaandikiwa kuwa kiongozi?, basi wengine tuwe washauri sio kukosa madaraka unaamua kujivua uanachama ukisemwa kudogo unaamua kujivua uanachama tusiwe na roho ndogo ya kuzira.
 
Ndio mnavyopeana vyeo hivyo? kazi kweli kweli!
 
simaanishi kupeana as you think! Lwakatare anaweza kuwa msaada zaidi kwa vile ni muelewaji
 
Lwakatare = Kufulila..maana ni watu wa kuhamahama vyama kama kawaida..lol..do you still believe thins kind of people...chadema mmeishiwa kwelikweli..hakuna mwanachama mwingine ajabu..?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…