Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yah na Jana dada wa taifa kachukua tunzo za mambo ya fashooonShemeji wa Taifa anakuja kumbe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sie hatuna shida na shemeji.
4/12 ni mwendo wa kisingeli tu. Na vile hamna kiingilio tunakesha afu asubuhi tunaamkua kwa mwamposa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
na baa ingekuwa mojaIngekuwa ndo hivo dar kungekuwa na beach moja tu.
Wapenzi wa singeli hawaingiliani na wapenzi wa hiphop hasa ya mtoni! Watagawana wateja!Wabongo hatuwezi kuendelea yaani mwenzako E FM amepanga event ya komaa concert Clouds nao wamepanga kumleta Rick Ross. Nakumbuka Lady Jay Dee alitangaza show Clouds waka andaa show na kumleta Mwana FA, haya mambo ya ajabu kweli