Kwanini "Colleges" na "Institutes" zina gharama za juu za hostel?

Kwanini "Colleges" na "Institutes" zina gharama za juu za hostel?

yify

Member
Joined
Oct 12, 2020
Posts
10
Reaction score
3
Husika na kichwa cha Uzi apo juu.

Kam mfatiliaji wa mambo ya chuo utagundua vyuo vingi vya serikali haswa institute hizi au college gharama za hostel zipo juu sanaa.

Mfano IFM, CBE na TIA gharama zao kwa mwaka ni 450,000 huku vyuo kam Mzumbe, UDSM gharama zao zipo chini sana ni 120,000 kwa mwaka.

Kwanini ipo hiv wakat vyote vipo chini ya serikali kwann vingine bei IPO juu kulinganisha na vingine?
 
uzulii n kwamba hawalazimishii ukipenda unaweza jenga yakoo na ukaishii na pia masomo yakaendelea kam unaona unaibiwaaa
 
hata wewe hi post haikuhusu unaweza ukapita hivi ili upunguze shombo..
uzulii n kwamba hawalazimishii ukipenda unaweza jenga yakoo na ukaishii na pia masomo yakaendelea kam unaona unaibiwaaa
 
Back
Top Bottom