GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Kuna nchi zilishawahi kuingia katika misukosuko ya kisiasa lakini hatimaye zilikuja kutukia. Rwanda ni mojawapo.
Kwa nini imekuwa tofauti nchini Congo DRC?
1. Tatizo ni uongozi? Angepatikana huko kiongozi kama NYERERE, au KAGAME au MAGUFULI angeweza kuituliza?
2. Wasababisha machafuko ya Congo DRC wana nguvu kuliko wazuiaji?
3. Hulka ya raia wa Congo DRC inachangia?
Sababu wana Mali, leo hii Congo ikifungwa hakuingii hakutoki Kitu nchi nyingi za west zitakua katika hali ngumu sana.Kuna nchi zilishawahi kuingia katika misukosuko ya kisiasa lakini hatimaye zilikuja kutukia. Rwanda ni mojawapo.
Kwa nini imekuwa tofauti nchini Congo DRC?
1. Tatizo ni uongozi? Angepatikana huko kiongozi kama NYERERE, au KAGAME au MAGUFULI angeweza kuituliza?
2. Wasababisha machafuko ya Congo DRC wana nguvu kuliko wazuiaji?
3. Hulka ya raia wa Congo DRC inachangia?
Sababu wana Mali, leo hii Congo ikifungwa hakuingii hakutoki Kitu nchi nyingi za west zitakua katika hali ngumu sana.
Congo ndio wana run Dunia kwenye mambo mengi sana na Madini yao ni crucial kwenye Technology za sasa. Mabwana wakubwa hawataki wajitawale na kujielewa ili mambo yao yaende.
Wale waasi wa congo niwa kutokea nchi gani ya magharibi?Sababu wana Mali, leo hii Congo ikifungwa hakuingii hakutoki Kitu nchi nyingi za west zitakua katika hali ngumu sana.
Congo ndio wana run Dunia kwenye mambo mengi sana na Madini yao ni crucial kwenye Technology za sasa. Mabwana wakubwa hawataki wajitawale na kujielewa ili mambo yao yaende.
Jibu nzuri kabisa hili mkuu,wengi wetu ni watu wa kutoa lawama kwa wazungu kuhusu mgogoro wa DRC na kuzipa kisongo sababu za ndani ambazo ni chanzo Cha matatizo ya Congo...sio kweli kwamba nchi za magharibi hazitaki Wacongo wajitawale.
..nchi za magharibi hazijali mateso ya Wacongomani kwasababu supply ya madini kwenda kwao haijakatishwa kutokana na vita na mauaji yanayoendelea DRC.
..siku vita hivyo vikisababisha nchi za magharibi zikakosa madini muhimu toka DRC ndipo utakapoona wanaingilia kati na kutaka vita iishe.
Jibu nzuri kabisa hili mkuu,wengi wetu ni watu wa kutoa lawama kwa wazungu kuhusu mgogoro wa DRC na kuzipa kisongo sababu za ndani ambazo ni chanzo Cha matatizo ya Congo.
Tokea Kagame aingie madarakani, Rwanda imetulia mithili ya maji kwenye mtungi...Ni kwasababu waasi wa DRC wanasaidiwa na Uganda, na Rwanda.
..waasi wanapokuwa na support ya nchi majirani basi ni vigumu sana kuwamaliza.
..Jonas Savimbi alikuwa moto kwelikweli Angola, lakini misaada toka Afrika Kusini na Zaire/DRC ilipokatika Savimbi aliisha makali.
Tokea Kagame aingie madarakani, Rwanda imetulia mithili ya maji kwenye mtungi.
Unafikiri Kagame angelikuwa ni Rais wa Congo DRC hayo machafuko yangelikuwa bado yapo?
Kwhio chisekedi anapwaya? Kiatu hakimtoshiTokea Kagame aingie madarakani, Rwanda imetulia mithili ya maji kwenye mtungi.
Unafikiri Kagame angelikuwa ni Rais wa Congo DRC hayo machafuko yangelikuwa bado yapo?
Felix hana ubavu wowote yule ni muhuni tuu anavunja baraza kupanga formation zake 😀😀 mambo ya asali banaKwhio chisekedi anapwaya? Kiatu hakimtoshi
Japo hatuifikii Congo, lakini hata sisi utajiri tulio nao si haba! Lakini mbona sisi tuna "amani"?Sababu wana Mali, leo hii Congo ikifungwa hakuingii hakutoki Kitu nchi nyingi za west zitakua katika hali ngumu sana.
Congo ndio wana run Dunia kwenye mambo mengi sana na Madini yao ni crucial kwenye Technology za sasa. Mabwana wakubwa hawataki wajitawale na kujielewa ili mambo yao yaende.
Ni kweli mkuu, ina rasilimali nyingi sana. Lakini, kwani ni Congo DRC pekee ndiyo yenye utajiri wa rasilimali? Mbona nchi zingine tajiri kama Congo DRC hazina machafuko?Tatizo ni uwepo tele wa rasilimali za asili kama madini, misitu n.k.
AU yenyewe "hainaga" msaada?..sio kweli kwamba nchi za magharibi hazitaki Wacongo wajitawale.
..nchi za magharibi hazijali mateso ya Wacongomani kwasababu supply ya madini kwenda kwao haijakatishwa kutokana na vita na mauaji yanayoendelea DRC.
..siku vita hivyo vikisababisha nchi za magharibi zikakosa madini muhimu toka DRC ndipo utakapoona wanaingilia kati na kutaka vita iishe.
Hao wanaoiba Madini ni kutoka nchi za Magharibi, in short vifaa vyote tunavyotumia kutype hapa vimejaa damu za Wacongo. Bila cobalt hutengenezi battery na circuit za motherboard, na Congo ndio ina supply Asilimia zaidi ya 70 ya Cobalt duniani, wanaochimba hio cobalt ni watoto wadogo mno na ni kama serikali ya Congo haifadiki na chochote.Wale waasi wa congo niwa kutokea nchi gani ya magharibi?
Nchi nyingi zina mali lakini zina utulivu, why DRC? Shida ni uongozi na hulka ya Wacongo wenyewe.Sababu wana Mali, leo hii Congo ikifungwa hakuingii hakutoki Kitu nchi nyingi za west zitakua katika hali ngumu sana.
Congo ndio wana run Dunia kwenye mambo mengi sana na Madini yao ni crucial kwenye Technology za sasa. Mabwana wakubwa hawataki wajitawale na kujielewa ili mambo yao yaende.
Hao wanaoiba Madini ni kutoka nchi za Magharibi, in short vifaa vyote tunavyotumia kutype hapa vimejaa damu za Wacongo. Bila cobalt hutengenezi battery na circuit za motherboard, na Congo ndio ina supply Asilimia zaidi ya 70 ya Cobalt duniani, wanaochimba hio cobalt ni watoto wadogo mno na ni kama serikali ya Congo haifadiki na chochote.
Kukiwa na Congo imara ina maana watakuwa na say na Cobalt yao. Bei itapanda na wanaweza wakamuuzia yoyote, China, Urusi na wengineo, na tukiwa tunaelekea ulimwengu wa Magari ya Umeme umuhimu wa cobalt unazidi kuwa Mkubwa.
So solution ni hio ku distabilize nchi ili watu wajichotee hizo Mali,
Mwanajeshi halimi, hafanyi biashara wala haingizi kipato chochote na ana Gharama kubwa mno, kuanzia kumvisha, kumlisha, kumnunulia Silaha, kumtrain etc hakuna popote pale Duniani ambapo kuna muasi asiye supportiwa na nchi nyengine, hakuna, huwezi endesha jeshi kwa ulimwengu wetu wa sasa bila Supply na Logistic za hao mabwana wakubwa.