Cobalt yenyewe ina alternatives, sio kwamba hata isipokuwepo kwamba smartphones, computer, betri havitatengenezwa.Umekazania cobalt cobalt kama vile Congo pekee ndio inahodhi hayo madini
Mnawasingizia tu hao wazungu. Mbona hata Mugabe na Dos Santos walimsaidia kabila dhidi ya kagame ila bado wakagawana dhahabu zote na mafuta!! Tuseme tu uongozi mbovu sababu jamii zetu hazina uwajibikaji wala maadili zaidi ya wizi tu.Sababu wana Mali, leo hii Congo ikifungwa hakuingii hakutoki Kitu nchi nyingi za west zitakua katika hali ngumu sana.
Congo ndio wana run Dunia kwenye mambo mengi sana na Madini yao ni crucial kwenye Technology za sasa. Mabwana wakubwa hawataki wajitawale na kujielewa ili mambo yao yaende.
waasi hao ni watu wachache wenye urafiki wa karibu na mataifa ya magharibi, watu hao wanatumiwa na wamagharibi,huku wao wakipewa na kuahidiwa maisha mazuri,wakati nyie wakongomani wazarendo mnafanya jitihada za kuwamaliza waasi wamagharibi wanapora mali kupitia hawa waandishi wa habari wasio na mipaka,vikosi vya misaada nk.Wale waasi wa congo niwa kutokea nchi gani ya magharibi?
waasi hao ni watu wachache wenye urafiki wa karibu na mataifa ya magharibi, watu hao wanatumiwa na wamagharibi,huku wao wakipewa na kuahidiwa maisha mazuri,wakati nyie wakongomani wazarendo mnafanya jitihada za kuwamaliza waasi wamagharibi wanapora mali kupitia hawa waandishi wa habari wasio na mipaka,vikosi vya misaada nk.Wale waasi wa congo niwa kutokea nchi gani ya magharibi?
Ndio namshangaa wakati kila siku tunaona vita za EVs batteries kwa mataifa makubwa kwa makampuni yaoCobalt yenyewe ina alternatives, sio kwamba hata isipokuwepo kwamba smartphones, computer, betri havitatengenezwa.
Sio kweli, Tanzania mbona tuna rasilimali na hakuna waasi. In fact wazungu wanajichotea almasi tu dhahabu kwa mikataba mibovu ndio sembuse watake vita.Hao wanaoiba Madini ni kutoka nchi za Magharibi, in short vifaa vyote tunavyotumia kutype hapa vimejaa damu za Wacongo. Bila cobalt hutengenezi battery na circuit za motherboard, na Congo ndio ina supply Asilimia zaidi ya 70 ya Cobalt duniani, wanaochimba hio cobalt ni watoto wadogo mno na ni kama serikali ya Congo haifadiki na chochote.
Kukiwa na Congo imara ina maana watakuwa na say na Cobalt yao. Bei itapanda na wanaweza wakamuuzia yoyote, China, Urusi na wengineo, na tukiwa tunaelekea ulimwengu wa Magari ya Umeme umuhimu wa cobalt unazidi kuwa Mkubwa.
So solution ni hio ku distabilize nchi ili watu wajichotee hizo Mali,
Mwanajeshi halimi, hafanyi biashara wala haingizi kipato chochote na ana Gharama kubwa mno, kuanzia kumvisha, kumlisha, kumnunulia Silaha, kumtrain etc hakuna popote pale Duniani ambapo kuna muasi asiye supportiwa na nchi nyengine, hakuna, huwezi endesha jeshi kwa ulimwengu wetu wa sasa bila Supply na Logistic za hao mabwana wakubwa.
Nyie wapuuzi sana.waasi hao ni watu wachache wenye urafiki wa karibu na mataifa ya magharibi, watu hao wanatumiwa na wamagharibi,huku wao wakipewa na kuahidiwa maisha mazuri,wakati nyie wakongomani wazarendo mnafanya jitihada za kuwamaliza waasi wamagharibi wanapora mali kupitia hawa waandishi wa habari wasio na mipaka,vikosi vya misaada nk.
jibu ni ndiyo,hata ashuke malaika aitawale CONGO vita havitaisha mpaka pale rasilimali zote za nchi hiyo ziishe.Tokea Kagame aingie madarakani, Rwanda imetulia mithili ya maji kwenye mtungi.
Unafikiri Kagame angelikuwa ni Rais wa Congo DRC hayo machafuko yangelikuwa bado yapo?
Kumbe!! Mbona Mugabe na Dos Santos walipomsaidia kabila dhidi ya Kagame waliyedai katumwa na wazungu, wakaishia kutapanya rasilimali za Katanga? Yaani Mugabe walichota mabilion ya dola kwenye dhahabu kama "marejesho" kumsaidia kabila.waasi hao ni watu wachache wenye urafiki wa karibu na mataifa ya magharibi, watu hao wanatumiwa na wamagharibi,huku wao wakipewa na kuahidiwa maisha mazuri,wakati nyie wakongomani wazarendo mnafanya jitihada za kuwamaliza waasi wamagharibi wanapora mali kupitia hawa waandishi wa habari wasio na mipaka,vikosi vya misaada nk.
Sahihi.Sio kweli, Tanzania mbona tuna rasilimali na hakuna waasi. In fact wazungu wanajichotea almasi tu dhahabu kwa mikataba mibovu ndio sembuse watake vita.
Unataka kuniambia DRC bila vita hao viongozi hawahongeki?
Tuache kusingizia wazungu, hata Mugabe aliachiwa kila kitu ila bado nchi ikamshinda kwa kunuka ufisadi.
tuna amani ila hatuna akili "wajinga" wamagharibi watatumia mgongo wa waasi kivipi ktk nchi kama hii,bandari,mbuga za wanyama,mikataba ya madini na wafadhili uchwara wanafanya yao pasipo wananchi kushtuka au kugomea.Japo hatuifikii Congo, lakini hata sisi utajiri tulio nao si haba! Lakini mbona sisi tuna "amani"?
Huoni kama na Wacongo nao wamechangia hayo yanayoendelea nchini kwao?
Boss tuongee kwa ushahidi, speculation na cheap politics hazifikishi popote. APPLE na west wanaiba its a fact, wanatumia Rwanda it's a fact, kuna mkataba wa EU na Rwanda kusupply it's a fact japo Rwanda hana any meaningfull material. China anashirikiana na Serikali ya Congo it's a fact pia.Ni hivi, ni rahisi zaidi Waafrika kuwafungulia mashitaka kama hayo wazungu kama Apple, BAE systems n.k kwa sababu wanaonekana kujali. Wachina hawajali mambo ya illegal mining, blood diamonds, human rights,
child labour n.k na huwezi kupata chochote kwao hata ukidai. Wachina hapo DRC hawachoti madini tu, hadi magogo wanavuna kiharamu kwenda kutengenezea furniture kwao China. Halafu Wachina wao wanaingia front kabisa kuvuna rasilimali tofauti na Western wanaoutumia third parties.
Rasilimali gani Tanzania zenye thamani ya zaidi $24 trillion? Nyie Acheni Utani hatuna Madini yenye hata thamani ya 1% ya Madini ya Congo. Tuki Export 1.4B Madini humu tunapongezana.Sio kweli, Tanzania mbona tuna rasilimali na hakuna waasi. In fact wazungu wanajichotea almasi tu dhahabu kwa mikataba mibovu ndio sembuse watake vita.
Unataka kuniambia DRC bila vita hao viongozi hawahongeki?
Tuache kusingizia wazungu, hata Mugabe aliachiwa kila kitu ila bado nchi ikamshinda kwa kunuka ufisadi.
So kama wamegawana mafuta does that make wazungu innocent? Siku Kenya wakichukua Dhahabu Tanzania automatic vinafanya mikataba yote ya Madini Tanzania iwe sawa?Mnawasingizia tu hao wazungu. Mbona hata Mugabe na Dos Santos walimsaidia kabila dhidi ya kagame ila bado wakagawana dhahabu zote na mafuta!! Tuseme tu uongozi mbovu sababu jamii zetu hazina uwajibikaji wala maadili zaidi ya wizi tu.
Rasilimali gani? Si mradi wa gesi ya LNG huko kusini investmest will be over USD 30B.Rasilimali gani Tanzania zenye thamani ya zaidi $24 trillion? Nyie Acheni Utani hatuna Madini yenye hata thamani ya 1% ya Madini ya Congo. Tuki Export 1.4B Madini humu tunapongezana.
$30B ni 0.125% ya $24 Trilioni, hata nusu asilimia huja fika, see?Rasilimali gani? Si mradi wa gesi ya LNG huko kusini investmest will be over USD 30B.
Anyway hata Hizo hizo chache mbona mabeberu wanazikomba bila kurusha risasi
Ndio nasema issue sio wazungu issue ni mtambuka. Hata leo DRC isiwe na vita unadhani Viongozi wake watatoa mikataba mizuri ya rasilimali?So kama wamegawana mafuta does that make wazungu innocent? Siku Kenya wakichukua Dhahabu Tanzania automatic vinafanya mikataba yote ya Madini Tanzania iwe sawa?
Sasa angalia na value per square meter, hiyo DRC ni mara 5 ya Tanzania ila kwa size yetu bado we are good than most nations huku Africa.$30B ni 0.125% ya $24 Trilioni, hata nusu asilimia huja fika, see?
Vita vya DRC vina mambo mengi sana yanayochangia kama mchanganyiko.Kuna nchi zilishawahi kuingia katika misukosuko ya kisiasa lakini hatimaye zilikuja kutukia. Rwanda ni mojawapo.
Kwanini imekuwa tofauti nchini Congo DRC?
1. Tatizo ni uongozi? Angepatikana huko kiongozi kama NYERERE, au KAGAME au MAGUFULI angeweza kuituliza?
2. Wasababisha machafuko ya Congo DRC wana nguvu kuliko wazuiaji?
3. Hulka ya raia wa Congo DRC inachangia?