B bhokemsama Member Joined Jan 12, 2014 Posts 25 Reaction score 5 Apr 22, 2014 #2 Hahhahahaah hawa c mbwembwe mwanzo mwisho branch gan hiyo kwan?
Maundumula JF-Expert Member Joined Nov 4, 2010 Posts 7,553 Reaction score 3,081 Apr 22, 2014 #3 Mkuu hii ni biashara kama biashara nyingine. Si hata ukienda TIGO/VODA peak hours inabidi usimame foleni. Au kile kibanda chako cha Tigo Pesa si huwa wanasimama wakati mwengine foleni kwanini huwezi wafanyakazi 3?🙂
Mkuu hii ni biashara kama biashara nyingine. Si hata ukienda TIGO/VODA peak hours inabidi usimame foleni. Au kile kibanda chako cha Tigo Pesa si huwa wanasimama wakati mwengine foleni kwanini huwezi wafanyakazi 3?🙂
purtpurt Member Joined Feb 19, 2014 Posts 38 Reaction score 6 Apr 22, 2014 Thread starter #4 Hapo kaka ni jirani kwa Meneja wao Mkuu! Ostrebay Branch! Karibu na Coco Beach
Marire JF-Expert Member Joined May 1, 2012 Posts 12,333 Reaction score 5,292 Apr 24, 2014 #5 Maundumula said: Mkuu hii ni biashara kama biashara nyingine. Si hata ukienda TIGO/VODA peak hours inabidi usimame foleni. Au kile kibanda chako cha Tigo Pesa si huwa wanasimama wakati mwengine foleni kwanini huwezi wafanyakazi 3?🙂 Click to expand... kuna haja gani ya kuweke madrisha kibao wakati hayatumiki? nilienda branch moja madrisha 10 matatu ndio yanafanya kazi
Maundumula said: Mkuu hii ni biashara kama biashara nyingine. Si hata ukienda TIGO/VODA peak hours inabidi usimame foleni. Au kile kibanda chako cha Tigo Pesa si huwa wanasimama wakati mwengine foleni kwanini huwezi wafanyakazi 3?🙂 Click to expand... kuna haja gani ya kuweke madrisha kibao wakati hayatumiki? nilienda branch moja madrisha 10 matatu ndio yanafanya kazi