Kwanini CRDB wanamadirisha mengi kuliko idadi ya Cashers? Muda wooote matawi yoote huwa foleni ni nd

Mkuu hii ni biashara kama biashara nyingine.

Si hata ukienda TIGO/VODA peak hours inabidi usimame foleni.

Au kile kibanda chako cha Tigo Pesa si huwa wanasimama wakati mwengine foleni kwanini huwezi wafanyakazi 3?🙂
 
Hapo kaka ni jirani kwa Meneja wao Mkuu! Ostrebay Branch! Karibu na Coco Beach
 
Mkuu hii ni biashara kama biashara nyingine.

Si hata ukienda TIGO/VODA peak hours inabidi usimame foleni.

Au kile kibanda chako cha Tigo Pesa si huwa wanasimama wakati mwengine foleni kwanini huwezi wafanyakazi 3?🙂
kuna haja gani ya kuweke madrisha kibao wakati hayatumiki?
nilienda branch moja madrisha 10 matatu ndio yanafanya kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…