Si amtawale, ila anamsaidi kumuepusha na mabalaa. maana hawa ni kama watoto hawakui wala hawaelewi wana dare kufanya vitu hatarishi so ni kumprotect huyu baba zaidi ,maana hawa wa baba mbili haikai tatu haikai na ucpoangalia anakuletea balaa la gonjwa au unabwagwa pwaa na mitoto yako huku akienda lea watoto wa hawala!