Unakimbia mada! Jikite kwenye mada iliyoko mezani mkuu, pamoja na kwamba wewe ni screpaAt least yeye anakopi anafanikiwa, we unakopi vitu kibao hadi jina la wataliban lakini huna hata mia
Hahaha jino kwa jinoUnakimbia mada! Jikite kwenye mada iliyoko mezani mkuu, pamoja na kwamba wewe ni screpa
kwa signature hiyo ungeongea nini unadhanin??..............kukopi bila ruhusa ni kosa mjomba ubunifu ishakuwa 0...bado kukopi mwana ya alikiba.kucopy biashara ya mwenzako halafu ukaboresha sio kosa!
Dimond Ana stress za Ali Kiba
Ulipotelea wapi mkuu! Kiba alikosa mtetezi madhubuti kwa muda mrefu sasa...karibu tena jukwaani mkuu.kwa signature hiyo ungeongea nini unadhanin??????????????????????????????????????????????????..............kukopi bila ruhusa ni kosa mjomba ubunifu ishakuwa 0...bado kukopi mwana ya alikiba.
Mwenyew nahisi kuna attention inatengenezwa.Naywamitego na diamond? acheni kuchezeshwa kiduku
Wewe muziki na sheria zake huzijui unajibu ili mradi tukucopy biashara ya mwenzako halafu ukaboresha sio kosa!
Watz ndivyo walivyo hakuna walijualo ila kila kitu wanajifanya wanajua...Wewe muziki na sheria zake huzijui unajibu ili mradi tu