Wanajamvi,
Nasikitishwa sana na baadhi ya mashabiki na baadhi ya wasanii wakubwa kwa kuzidisha jitihada kumshusha kijana wawatu kwa hatua anazonipiga.
Hivi TZ tutabadilika lini na kuachana na mambo kama haya ambayo mwisho wa siku tutajikuta tunapoteza wote kabisa, yani TZ hata kwenye nominations za nje tusizione tena?
Tanzania kwanza jamani!