Kwanini Diamond na Zari wanashirikiana bodigadi mmoja? Ni uwezo Mdogo?

Nibozali

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2016
Posts
572
Reaction score
1,055
Inafahamika kuwa Zari ni mwanamke bilionea mkubwa Afrika mashariki na Afrika kwa ujumla lakini cha kushangaza hana bodigadi badala yake bodigadi anayetumiwa na Diamond ndio huyohuyo anatumiwa na Zari! Hii si picha nzuri. Ni bora kama hana uwezo Wa kumudu gharama za kulipia Mlinzi bora atembee hivohivo tu!

Sijui Huyo mwarabu akitembea na Zari au Mond wakati huohuo Mond au Zari atakuwa na na mlinzi yupi
 
Aahhh wee jamaa, pambana na hali yako, na weww unao wangapi????
 

Anayetumiwa na Diamond ndiyo huyohuyo anatumiwa na Mondi.Sasa tatizo liko wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…