we na diamond mna tofauti gani?Katika wasanii wana skendo nying juu ya wizi nyimbo ni diamond platinum,.
Lakini sijawahi kusikia zimeondolewa youtube.
Hali ni tofauti kwa harmonize nyimbo yake imeondolewa kabisa na uongozi wa youtube.
Hii ikoje wadau wa music?
Anajua kula na vipofuKatika wasanii wana skendo nying juu ya wizi nyimbo ni Diamond Platinumz, lakini sijawahi kusikia zimeondolewa YouTube.
Hali ni tofauti kwa Harmonize, nyimbo yake imeondolewa kabisa na uongozi wa YouTube.
Hii ikoje wadau wa musiki?
Baba lao video na beat,number one
Diamond aliongea na mwenye wimbo, so amecopy kihalaliKatika wasanii wana skendo nying juu ya wizi nyimbo ni Diamond Platinumz, lakini sijawahi kusikia zimeondolewa YouTube.
Hali ni tofauti kwa Harmonize, nyimbo yake imeondolewa kabisa na uongozi wa YouTube.
Hii ikoje wadau wa musiki?
Katika wasanii wana skendo nying juu ya wizi nyimbo ni Diamond Platinumz, lakini sijawahi kusikia zimeondolewa YouTube.
Hali ni tofauti kwa Harmonize, nyimbo yake imeondolewa kabisa na uongozi wa YouTube.
Hii ikoje wadau wa musiki?
Hakuna Mameneja pale ni Machawa tu, Jamaa ndo Kila kitu yupo Smart sana..Diamond huomba kibali cha kutumia beat.yule Jamaa na mameneja wanaojielewa
Na kweli hawa mameneja labda slam kiasi ila mengine ni IQ ya mondi ndo inafanya kazi.Huyu mondi ni CEO haswaaa japo hajasomea class,nikiangalia kundi la watu wanaotegemewa na familia zao wanavyo ongozwa kiprofessional,nazidi kumkibali sanaaa.Hakuna Mameneja pale ni Machawa tu, Jamaa ndo Kila kitu yupo Smart sana..