Ujinga mtupu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 887
- 2,010
Akianza kuwa karibu nao mtakuja na uzi unaouliza kwanini Diamond anashinda kutwa kwa marafiki zake?.Hello.
Kwanini Diamond platnumz na Timu yake ya Wasafi ikiundwa na Zuchu,lavalava imeonekana Wanajitenga sana na wasanii Wenzao sio kwenye misiba wala sherehe.
Au ndo masharti ya mganga wao.
Diamond Hajaonekana kwenye msiba wa Gadner G habash.
We unataka watu tuchanganyikane kama Oxygen na Hydrogen tutengeneze Solution?Hello.
Kwanini Diamond platnumz na Timu yake ya Wasafi ikiundwa na Zuchu,lavalava imeonekana Wanajitenga sana na wasanii Wenzao sio kwenye misiba wala sherehe.
Au ndo masharti ya mganga wao.
Diamond Hajaonekana kwenye msiba wa Gadner G habash.
Wewe tayari ushakutana na Pdidy?Nao wakakutane na Pdidy wajumuike pamoja na wcb
Ndo maana sipo wcbWewe tayari ushakutana na Pdidy?
Gardner akiwa hai uliishawahi kumsikia anapiga nyimbo za Wasafi? Kama yeye Gardner aliwachukia na kuwatenga Wasafi akiwa hai, kwanini Wasafi wampende akiwa mfu?Hello.
Kwanini Diamond platnumz na Timu yake ya Wasafi ikiundwa na Zuchu,lavalava imeonekana Wanajitenga sana na wasanii Wenzao sio kwenye misiba wala sherehe.
Au ndo masharti ya mganga wao.
Diamond Hajaonekana kwenye msiba wa Gadner G habash.
Diamond ni Super-brand hapa nchini, brand iliyotengenezwa kwa gharama kubwa na isiyofananishwa na yeyote yule, hivyo, hapaswi kwenda kwenye matukio hovyohovyo. Yeye kila appearance yake ni anaingiza hela, Je, akienda pale msibani watamlipa?Hello.
Kwanini Diamond platnumz na Timu yake ya Wasafi ikiundwa na Zuchu,lavalava imeonekana Wanajitenga sana na wasanii Wenzao sio kwenye misiba wala sherehe.
Au ndo masharti ya mganga wao.
Diamond Hajaonekana kwenye msiba wa Gadner G habash.
Dump🚮Hello.
Kwanini Diamond platnumz na Timu yake ya Wasafi ikiundwa na Zuchu,lavalava imeonekana Wanajitenga sana na wasanii Wenzao sio kwenye misiba wala sherehe.
Au ndo masharti ya mganga wao.
Diamond Hajaonekana kwenye msiba wa Gadner G habash.
PIgia mstar masharti...Hello.
Kwanini Diamond platnumz na Timu yake ya Wasafi ikiundwa na Zuchu,lavalava imeonekana Wanajitenga sana na wasanii Wenzao sio kwenye misiba wala sherehe.
Au ndo masharti ya mganga wao.
Diamond Hajaonekana kwenye msiba wa Gadner G habash.
Haujuii!!!..Kwani akionekana Diamond platinum a.k.a simba la madangote. Marehemu atafufuka?