Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Unaelewa msalaba ni nini?Je kama ni "Jumlisha"?
Kipi kimefanya useme ni msalaba?
Kuna wimbo niliwahi kuusikia,Una verse inasema hivi, na hapa nanukuu "Lazima ujue kutofautisha, kati ya X na kuzidisha,Je kama ni "Jumlisha"?
Kipi kimefanya useme ni msalaba?
Na aliimba mwenyewe.Kuna wimbo niliwahi kuusikia,Una verse inasema hivi, na hapa nanukuu "Lazima ujue kutofautisha, kati ya X na kuzidisha,
kuna Msalaba na jumlisha"
Mwisho wa kunukuu
Stay tuned
ππJe kama ni "Jumlisha"?
Kipi kimefanya useme ni msalaba?
Ahaaaaa kumbeNa aliimba mwenyewe.
Andiko lipi linasema Yesu hakuangikwa msalabani?Unaelewa msalaba ni nini?
Je, unajua kuwa asili ya msalaba siyo "Ukristo??"
Je, unajua kuwa YESU KRISTO hakubeba msalaba (+) bali alibeba nguzo (I)?
Je, unajua kuwa kanisa la KWELI la MUNGU halitumii "msalaba" maana asili ya msalaba (+) ni upagani?
Ukijua hayo hutaona ajabu kwa Diamond Platinumz kuvaa msalaba.
Hizi dini hizi, sema wewe ndivo unavoamini na hiyo ndo kweli yako.Unaelewa msalaba ni nini?
Je, unajua kuwa asili ya msalaba siyo "Ukristo??"
Je, unajua kuwa YESU KRISTO hakubeba msalaba (+) bali alibeba nguzo (I)?
Je, unajua kuwa kanisa la KWELI la MUNGU halitumii "msalaba" maana asili ya msalaba (+) ni upagani?
Ukijua hayo hutaona ajabu kwa Diamond Platinumz kuvaa msalaba.
ππ Bonge moja la point japo limekaa kiutaji utani hivii.Je kama ni "Jumlisha"?
Kipi kimefanya useme ni msalaba?
vipi kama yesu alibeba jumlisha ila watu wakatafsiri tofauti?Unaelewa msalaba ni nini?
Je, unajua kuwa asili ya msalaba siyo "Ukristo??"
Je, unajua kuwa YESU KRISTO hakubeba msalaba (+) bali alibeba nguzo (I)?
Je, unajua kuwa kanisa la KWELI la MUNGU halitumii "msalaba" maana asili ya msalaba (+) ni upagani?
Ukijua hayo hutaona ajabu kwa Diamond Platinumz kuvaa msalaba.