Son of Gamba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 4,720
- 6,957
Jibu ni rahisi sana. Walioandika vitabu vya Agano Jipya walikuwa Wayahudi lakini waliandika kwa Kigiriki sababu ndiyo lugha kuu iliyokuwa inatumika kipindi hicho eneo lote la mashariki ya kati.Jibu swali, characters wa kwenye hivyo vitabu walikuwa Wagiriki au walikuwa wakitumia lugha ya Kigiriki?
What's so difficult about giving the straight answer?
Stop the blah blah and give the straight answer.
Hizo references zako si kila mtu anaziamini hivyo basi toa jibu la moja kwa moja kwa maswali hayo.
Thank you brother.You are good upstairs ,nimependa sana unavyojenga hoja zako with some reference
Wewe bado una safari ndefu sana ya kujifunza.Mind you, nina maana the whole Bible siyo uje na references za New Testament peke yake. Nijue kama hata the likes of Abraham au Solomon au David au Moses kwa nao walikuwa wakitumia Kigiriki au original records za hadithi zao wakati wa enzi zao zilikuwa zinaandikwa kwa Kigiriki na hata kama Jesus pia alikuwa anatumia(anazungumza/anahubiri) Kigiriki.
View attachment 1860286
Ninajua ninachokiongea na nina uhakika wa asilimia 100% wala sibahatishi.Unabishana na KJV haya.. [emoji38]
You are delusional!Haujaelezea facts bali umeelezea hadithi ulizozisoma, ukazikariri na kuziami which in real sense is far from being facts.