Kwanini Diamond Platnumz hakulipa fadhila kwa Bob Junior/Sharobaro Record (Wasafi)?

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Salaam wakuu

Tuongee ukweli, Nasib analalamika eti wakina Konde Boy hawana fadhila kisa kujitoa kwenye lebo yake. Je, yeye alipojitoa kwa Bob Junior akaondoka na jina lake, alilipa nini?

Nimemsikiliza sana Raheem Kibega. Ana hoja, Bob Junior(Raheem) mmiliki wa Sharobaro Records Wasafi, ilizaa Wasafi Classic Baby ambayo ndiyo ya Diamond. Hajawahi mlipa chochote Bob Junior. Kwanini anataka Konde na Rayvanny wamlipe?

Your browser is not able to display this video.
 
Mkataba kati ya sharobaro records na diamonds unasemaje?,tuanzie hapo kwanza,maana mikataba kati ya kondeboy,rayvan,Richmavoco,mboso na wasafi media inajurikana,ipo wazi,kila unachozalisha 40%inakwenda kwa kampuni,wasafi,aDiamond!!hii ni biashara sio ushikaji!!tuache porojo!

Hao sharobaro records Kuna pesa wanamdai Mond?kwanini hawafunguhi kesi??kama hakuna mkataba,hizo ni porojo tu za vijiweni
 
Diamond kiasi fulani kaitangaza iyo records ya sharobaro na kama hujui bifu ilianza baada ya kupandishiwa bei ya kurecord nafikiria ushatambua kwamba diamond alikuwa analipia pale na hana mkataba yeye ni mteja tu pale...sasa uliza hao kama wanalipiwa kitu wakati Wana mikataba gharama kuanzia kurecord mpaka video ni juu ya wasafi wanakuja kugawana mapato.
 
Mkataba wa bob(sharobaro) na mond ulikuwa unasemaje endapo mond angesepa?
 
Sio fote mkuu ni sikste ndio inaenda wasafi
 
Lawama hazikwepeki,Mond afanye analoweza,mengine awaachie walimwengu.
 
Lakini wakumbuke diamond ndo msanii pekee alimpa tuzo producer (Bob)
 
Kumekucha. Frontline
Your browser is not able to display this video.
 
Alisaini naye mkataba? Wale hawalipi fadhila bali wananunua hisa zilizochini la label ili wawe wasanii huru.
 
Na yeye alikuwa anamuita ruge mnyonyaji sasa kibao kimegeuka
 
Vijana wamelewa kwenye wimbi la UCHAWA, USHABIKI na UMSUKULE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…