Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Kwani Magufuli alipokuwa Rais Malori hayajawahi kukwama Bandarini!?Malori kukwama bandarini ni furaha kubwa sana kwa Lema, Msigwa, Lisu na chadema kwa ujumla kwa sababu hiyo ndiyo njia pekee ya kuuwa legacy ya Magufuli.
Huwezi kuchafua oil chafu itakuchafua, tayari chadema maji ya shingo .
Magufuli aliwagaragaza akiwa hai atawagaragaza akiwa mauti.
Kweli eti eenh!!??Ndio ufahamu kuwa sio tajiri.
Nimeelewa!!diamond ana 4m usd hapo mwisho no.20 ni 7m usd
Sawadiamond ana 4m usd hapo mwisho no.20 ni 7m usd
Imenishangaza Sana lakini ndiyo ukweli ulivyo. Yaani sijui wanatumia kigezo Gani kupanga hao wasanii matajiri!!??
Yaani Diamond hajafikia kuwa na ukwasi wa kutosha kuwa kwenye Orodha ya wanamuziki 20 matajiri Afrika!??
View attachment 1782109
Kwani uchumi wa Tanzania unafanana na hizo nchi? Samatta yupo top 20 ya wacheza soccer wanaolipwa zaidi Afrika?Imenishangaza Sana lakini ndiyo ukweli ulivyo. Yaani sijui wanatumia kigezo Gani kupanga hao wasanii matajiri!!??
Yaani Diamond hajafikia kuwa na ukwasi wa kutosha kuwa kwenye Orodha ya wanamuziki 20 matajiri Afrika!??
View attachment 1782109
Diamond ana utajiri wa nini?Imenishangaza Sana lakini ndiyo ukweli ulivyo. Yaani sijui wanatumia kigezo Gani kupanga hao wasanii matajiri!!??
Yaani Diamond hajafikia kuwa na ukwasi wa kutosha kuwa kwenye Orodha ya wanamuziki 20 matajiri Afrika!??
View attachment 1782109
Tumsubiri kigoma independent ajibu hoja
Anasema list ni fakeDaudi Mchambuzi said:Kwani @Kigoma Independent anasemaje?