Kwanini Diamond Platnumz hayumo top 20 ya wanamuziki matajiri Afrika?

Hahahah haha aise hadi mambo ya mondi
Umeleta ligi,yaani uko nje ya mada

Ova
 
Domo hana pesa na hana anachomiliki zaid ya shere kiduchu tu watu wanatumia jina lake kupanda ngazi ziko wapi diamond karanga
 
Oya mzeebaba vepe tena,tuliza basi mchecheto....relax man,relax.
 
Hata mm nimefurahi kama umechukia kunya ule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…