Kanisani kuna ulinzi wa Mungu barakoa za nini?!Hili Jambo limenishangaza kidogo.!
Dr. Kaleman leo akiwa Ofisi za TANESCO-GEITA alivaa Barakoa lakini ameenda Kanisani kujumuika na Raisi akavua na kuonesha hali ni shwari wale wote waliokuwa Kanisani leo hawakuwa na Wala hawakuvaa Barakoa, kuna kitu kilipangwa au?
Kalemani na wengine kama yeye wanaishi kwa kujipendekeza kwa John. Hata wakiambiwa walambe viatu vya John, wapo tayari muda wowote.Hili Jambo limenishangaza kidogo.!
Dr. Kaleman leo akiwa Ofisi za TANESCO-GEITA alivaa Barakoa lakini ameenda Kanisani kujumuika na Raisi akavua na kuonesha hali ni shwari wale wote waliokuwa Kanisani leo hawakuwa na Wala hawakuvaa Barakoa, kuna kitu kilipangwa au?
Mungu kwa nini hakuwapaisha wanaisrael kutoka Misri kwenda Kanani badala yake wakatembea kwa miaka 40 Jangwani tena kwa miguu na wengine wakifia humo humo Jangwani?Kanisani kuna ulinzi wa Mungu barakoa za nini?!
Kumkubalia shetani ndio kumjaribu Mungu... Corona ni shetani!Mungu kwa nini hakuwapaisha wanaisrael kutoka Misri kwenda Kanani badala yake wakatembea kwa miaka 40 Jangwani tena kwa miguu na wengine wakifia humo humo Jangwani?
Na ni kwa nini Yesu alipoambiwa na shetani ageuze jiwe liwe mkate alikataa kwa hoja kwamba imeandikwa "usimjaribu bwana Mungu wako"?
Shetani alipojiudhurisha mbele ya Mungu pamoja na wana wa Mungu shetani alikuwa amekubaliwa na MUNGU? Kwani ule mfano wa Yesu wa "msamaria mwema" zile sio tiba? Kristo ni badala ya maelekezo madaktari?Corona ni shetani!
Yesu anatibu roho na automatically mwili pia unapona.Shetani alipojiudhurisha mbele ya Mungu pamoja na wana wa Mungu shetani alikuwa amekubaliwa na MUNGU? Kwani ule mfano wa Yesu wa "msamaria mwema" zile sio tiba? Kristo ni badala ya maelekezo madaktari?
Sio kila mahali au kijiji wanavaa barakoa bwashee!
Hapo mwenge kwa Nabii Mwingira watu hawavai barakoa sasa wewe unashangaa " kijijini " Chato!Inaonekana kulikuwa na maagizo hapo kanisani watu wasivae..
Haiwezekani asiwepo mtu hata mmoja alievaa..
Kwahiyo hata hotuba yake ilikuwa well scripted..
Kaongea kama bahati mbaya but ilikuwa planned
Ni kwasababu Dr.Kalemani anaipenda kazi yake kuliko anavyoupenda uhai wake.Hili Jambo limenishangaza kidogo.!
Dr. Kaleman leo akiwa Ofisi za TANESCO-GEITA alivaa Barakoa pamoja na wote waliokuwa nae lakini ameenda Kanisani kujumuika na Raisi akavua na kuonesha hali ni shwari na wale wote waliokuwa Kanisani leo hawakuwa na Wala hawakuvaa Barakoa, kuna kitu kilipangwa au?
Ubarikiwe kwa komenti bomba kama hii.Usitumie akili kubwa sana kuwaza mambo na matendo ya mjinga!!
Za kuambiwa changanya na zakoSio kila mahali au kijiji wanavaa barakoa bwashee!