Katika siku za hivi karibuni naona Dollar inazidi kuporomoka sijajua sisi tumepunguza importation au Shilling inazidi kuimarika au biashara imekuwa na mwelekeo mzuri watu hawafichi tena dollar?? Au Mama anaupiga mwingi maana hata TRA wamevuka malengo uchumi umekua kwa kwa aslimia 5%+
Hii ni kuonesha Serikali iliyopo madarakani inafanya kazi! Hebu wachumi waje watuahabarishe katika hili.
Ngoja Trump aapishwe kazima itapaa tena! Sasa hivi mtu kama una hela yako nunua za kutosha zitunze,,,ndani ya miez miwili ijayo utapiga hela nzuri sana
Ngoja Trump aapishwe kazima itapaa tena! Sasa hivi mtu kama una hela yako nunua za kutosha zitunze,,,ndani ya miez miwili ijayo utapiga hela nzuri sana