Usiogope sana! Vijana wanalo la KUPOTEZA zaidi pindi taifa linachunwa kama mnyama hivi na wenye meno.
Dr Slaa hana cha kufaidi sana kwa KUZUNGUMZIA MALEZI BORA ya sisi Vijana. Sina uhakika kama Dr Slaa alifahamu kwamba 2010 atakujaibiwa KURA zake halali hata akatungia VIJANA vitabu ili WAMPENDE. Uhakika huo sina mpaka sasa.
Kupitia usoni mwako, koo yako ilivyokauka na maswali ya aina hiyo, napata shaka kwamba huko upande uliko wewe viti vyote vimekua vya moto, lakini kipindi sio mbali sana VIJANA tutatadai kilicho chetu mpaka kipatikane (KATIBA) bila vurugu. Leo kazungumzia MALEZI TU wa VIJANA tayari kivuli kinawakimbiza, ngoja Asasi za Kiraia na Jamii ya Wanataaluma (simba aliyelala) waje waanze kutia timu.