Kwanini Dunia haimpatii Mbowe heshima yake?

Kwanini Dunia haimpatii Mbowe heshima yake?

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Juzi nilikuwa nafuatilia mjadala wa demokrasia ndani ya Al Jazeera, majina kadha wa kadha ya miamba ya upinzani yalikuwa yanatajwa cha ajabu hamna hata mara moja jina la Mbowe lilitajwa hata kwa bahati mbaya. Utasikia Chagulanyi, Miguna, Ingabire Victore, Odinga, Malema nk.

Sidhani kama dunia inamtendea Mbowe haki kumfanya kuwa mdogo kiasi hicho, Mbowe sio local kiasi hicho mpaka jina lake liweze kuishia kwenye gazeti la Raia Mwema na page ya Chadema in blood pale Facebook .

Tunataka kumuona Mbowe kwenye majarida na tv kubwakubwa ulimwenguni kama wenzake wakina Bobi Wine.
Dunia impe heshima mwenyekiti wetu.
 
Juzi nilikuwa nafuatilia mjadala wa demokrasia ndani ya Al Jazeera, majina kadha wa kadha ya miamba ya upinzani yalikuwa yanatajwa Cha ajabu hamna hata mara moja jina la Mbowe lilitajwa hata kwa bahati mbaya. Utasikia Chagulanyi, Miguna, Ingabire Victore, Odinga, Malema nk.

Sidhani Kama dunia inamtendea Mbowe haki kumfanya kuwa mdogo kiasi hicho, Mbowe sio local kiasi hicho mpaka jina lake liweze kuishia kwenye gazeti la Raia Mwema na page ya Chadema in blood pale Facebook .

Tunataka kumuona Mbowe kwenye majarida na tv kubwakubwa ulimwenguni Kama wenzake wakina Bobi Wine.
Dunia impe heshima mwenyekiti wetu.
Ataonekanaje shujaa....akat anapinga tozo zinazojenga nchi...[emoji23][emoji23]
 
Juzi nilikuwa nafuatilia mjadala wa demokrasia ndani ya Al Jazeera, majina kadha wa kadha ya miamba ya upinzani yalikuwa yanatajwa Cha ajabu hamna hata mara moja jina la Mbowe lilitajwa hata kwa bahati mbaya. Utasikia Chagulanyi, Miguna, Ingabire Victore, Odinga, Malema nk.

Sidhani Kama dunia inamtendea Mbowe haki kumfanya kuwa mdogo kiasi hicho, Mbowe sio local kiasi hicho mpaka jina lake liweze kuishia kwenye gazeti la Raia Mwema na page ya Chadema in blood pale Facebook .

Tunataka kumuona Mbowe kwenye majarida na tv kubwakubwa ulimwenguni Kama wenzake wakina Bobi Wine.
Dunia impe heshima mwenyekiti wetu.
Tatizo chadema hamtaki uchunguzi wa matatizo yanayotokea. Kifo cha wangwe, mbowe kupigwa na wanaume watatu, lissu kupigwa risasi, nk.
 
Juzi nilikuwa nafuatilia mjadala wa demokrasia ndani ya Al Jazeera, majina kadha wa kadha ya miamba ya upinzani yalikuwa yanatajwa Cha ajabu hamna hata mara moja jina la Mbowe lilitajwa hata kwa bahati mbaya. Utasikia Chagulanyi, Miguna, Ingabire Victore, Odinga, Malema nk.

Sidhani Kama dunia inamtendea Mbowe haki kumfanya kuwa mdogo kiasi hicho, Mbowe sio local kiasi hicho mpaka jina lake liweze kuishia kwenye gazeti la Raia Mwema na page ya Chadema in blood pale Facebook .

Tunataka kumuona Mbowe kwenye majarida na tv kubwakubwa ulimwenguni Kama wenzake wakina Bobi Wine.
Dunia impe heshima mwenyekiti wetu.
Acha umbea.Utakufa umeachama mdomo kama mamba.😂😂😂
 
Juzi nilikuwa nafuatilia mjadala wa demokrasia ndani ya Al Jazeera, majina kadha wa kadha ya miamba ya upinzani yalikuwa yanatajwa Cha ajabu hamna hata mara moja jina la Mbowe lilitajwa hata kwa bahati mbaya. Utasikia Chagulanyi, Miguna, Ingabire Victore, Odinga, Malema nk.

Sidhani Kama dunia inamtendea Mbowe haki kumfanya kuwa mdogo kiasi hicho, Mbowe sio local kiasi hicho mpaka jina lake liweze kuishia kwenye gazeti la Raia Mwema na page ya Chadema in blood pale Facebook .

Tunataka kumuona Mbowe kwenye majarida na tv kubwakubwa ulimwenguni Kama wenzake wakina Bobi Wine.
Dunia impe heshima mwenyekiti wetu.
Labda Al Jazeera nao ni wana CCM! Ahahahahah!!!
 
Dunia inatambua michango ya watu walioleta impact katika jamii zao.

Unfortunately Chadema haija fanikiwa bado kufanya hivyo.

Mtikila ana impact kubwa hapa nchini kuliko hata Chadema.

Nikisema impact tazama Raila alichofanya hapo Kenya.

Struggles zake zimepelekea mabadiliko ya katiba na mifumo ya uchaguzi.

Chadema wamefeli kwa kipimo cha Raila na hata kile kidogo tu cha mtikila.
 
Tanzania haina upinzani vyama viwili vyote chadema na cha mrema sijui TLP zimeanzishwa kwa kanda fulani kama biashara ya kupiga ruzuku hamna wapinzani zaidi ya kuenda nje kutalii..
 
Back
Top Bottom