Kwanini Ebola? Ikulu ya Marekani yasema Tanzania kushindwa kutoa taarifa za Ebola ni moja ya sababu ya zuio la waTz kupata viza ya Marekani

Unaunga Mkono hoja wapi wewe Mutu ya Congo.
 
Marekani hio ni nchi yao, wana haki ya kuzuia au kuruhusu yeyote kuingia. Zuio lao isiwe issue kama kufa na kupona.
Zaidi ya hayo Marekani siyo mbinguni, hakuna tunachopungukiwa kama Taifa kwa kutoenda Marekani.
Sana sana wametuepusha na kutembelea Taifa linalokumbatia uchafu wa ushoga ambao kwao unafichwa kwa neno LGBT!! Mashoga wanaitwa eti makundi maalumu!!
 
Kw

ani China walificha taarifa za corona virus?
China walificha, daktari alietangaza kwa wenzie kuwapa tahadhari nae akaitwa na vyombo vya usala akasainishwa maelezo ya kukubali kusambaza taarifa zenye kuleta taharuki, akatishwa akaachiwa huru na sasa hautae duniani kaliwa na Coronavirus.

Tanzania pia kweli tulikomaa sana kuficha taarifa ya wagonjwa walio hisiwa kuwa na Ebola, lakini Mungu mkubwa inaonekana ni kweli hawakuwa na Ebola.

Tatizo linakuja hawa wamarekani wanataka taarifa hizi haraka ili wawatishe wawekezaji na watalii.

Upande wa pili Marekani wapo sahihi sana, haya mambo ya kuficha taarifa kama hzizi yanaweza kusababisha kuchelewa kuchukuliwa hatua na kuchelewesha kupata misaada ya kitaalamu ya kudhibiti milipuko ya magonjwa hatari kama haya, mwisho tukajikuta na janga kubwa sana linolo weza kuuwa uchumi wetu kabisa.
 
H
Unaongea pointi kwa kweli. Ukifikiria tumepakana na DRC upande wote wa magharibi. Hivu kweli hakina mtanzania hata mmoja aliyepata hio ebola miaka yote hii inaua maelfu ya DRC? Itakuwa hakuna rekodi zao tu hao waathirika.
Hivi unaweza kuficha extremely contagious disease kama Ebola? Kivipi labda?
 
Meko Watamuua Kwa Presha Mziki Wa Marekani si Mchezo Wanachokonoa mdogo mdogo Ili ujichanganye Wakunyooshe
 
Zaidi ya hayo Marekani siyo mbinguni, hakuna tunachopungukiwa kama Taifa kwa kutoenda Marekani.
Sana sana wametuepusha na kutembelea Taifa linalokumbatia uchafu wa ushoga ambao kwao unafichwa kwa neno LGBT!! Mashoga wanaitwa eti makundi maalumu!!
Nchi hii haiwez kuendelea kwa kuwa na raia sampuli yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa uchungu gani alionao kwa MTU mweusi,kwao tu wanawaua blacks kama hawana akili nzuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuwe wakweli. Umasikini wetu pia umetuponza. Wangepiga ban China na wenyewe wangepewa ban, matokeo yake biashara zingeyumba. Mbona China walificha sana coronavirus mpaka ilivyowashinda?
Kuna mtu anatafutwa hapo mpaka apatikane.
 
Acheni conspiracy theories ndugy zangu. Hazina faida yeyote katika maisha zaidi ya kufanya watu kujiona ni victims tu siku zote.
Kwa kuwa unaishi huko kama ulivyodai...unaunga mkono ujinga watanzania kama RAIA wanakosa lipi la kuunganishwa na nchi kama somalia na Eritrea bora useme labda uminywaji wa demokrasia lakini siyo mambo ya Ebola wewe lini Tanzania umesikia MTU kafa kwa Ebola au mambo ya kushambuliwa na magaidi serikali itangaze vitu visivyokuwepo kuwaridhisha mabwana wakubwa mambo mengine yanawalakini ukiangalia kiundani zaidi.
 
Milipuko ya Ebola huko Congo walichukua hatua gani kama si kufurahia watu weusi wateketee wakajibebee mali na kuyapa makundi silaha yavuruge amani....Ebola ingekuwepo Humu nchini isingefichika MZEE wanataka kuzua taharuki tu..ungeniambia mambo ya demokrasia na Uhuru wa kujieleza ningeunga mkono lakini si mambo ya magaidi au Ebola.
 
Sisi magonjwa mengi yanatupita juu kwa juu, hatujawahi kuwa na zika, ebola na huyu corona virus atakaemtaja mgojwa hata kama yupo cha moto atakipata. Mnataka watalii waache kwenda Rubondo!

Ngonjera zimeanza. Hoja kama hizi zinaweka wazi kiwango cha ukomavu wetu katika kujadili masuala muhimu ya kitaifa kwenye kambi tofauti za kisiasa nchini.
 
Ninachokijua mimi ni kwamba USA hawawezi kukurupuka na kuionea Tanzania!
 
Safi sana mkuu! Exposure ni kitu muhimu sana!
Kwa hili Wamarekani wamezima ndoto za akina sie wenye hamu ya kufika US.
 
Wana lao jambo wanalotafuta, baadaye tutakuja ambiwa hatujaripoti takwimu za watoto waliopata degedege
 
Safi sana mkuu! Exposure ni kitu muhimu sana!
Kwa hili Wamarekani wamezima ndoto za akina sie wenye hamu ya kufika US.
Hapana ndugu. Hakuna lisilowezekana. Pambana kutimiza ndoto yako. Kwa sasa itakuwa ngumu kuliko zamani, lakini inawezekana. Ni kupambana pasipo kukata tamaa.
 
Zaidi ya hayo Marekani siyo mbinguni, hakuna tunachopungukiwa kama Taifa kwa kutoenda Marekani.
Sana sana wametuepusha na kutembelea Taifa linalokumbatia uchafu wa ushoga ambao kwao unafichwa kwa neno LGBT!! Mashoga wanaitwa eti makundi maalumu!!
Na mkiruhusu mashoga yajinafasi mtaona mambo yatakavyonyooka, dunia ya ibilisi hii..
 
Kuna point hapa
 
Kongo kuna ebola hawajsfungia wanalao jambo

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…