Natafuta matibabu
JF-Expert Member
- Aug 1, 2020
- 262
- 301
Katika nyanja ya kandanda kwa kiwango cha vilabu vya mpira ulimwenguni, bara la Ulaya linaongoza kwa umaarufu likipambwa na ligi 5 bora kutoka mataifa 5 ya Uingereza, Ujerumani, Uitaliano, Uhispania na Ufaransa.
Kutokana na umaarufu huo wa hizo ligi, kukawepo ligi kubwa inayoshindanisha vilabu mbalimbali katika nchi zao barani Ulaya ambao wanaiita Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya (UEFA Champion League).
Katika kushiriki hiyo ligi (UCL) timu lazima ifanye vizuri katika ligi yake ya nyumbani ndio iweze kufuzu kucheza UCL.
Kati ya ligi 5 bora, ligi 4 tu kutoka Uingereza, Uhisapania, Uitaliano na Ujerumani ndizo zinazoingiza timu 4 moja kwa moja kwenye UCL ambapo hizo timu lazima ziwe top 4 kwenye ligi zao baada ya msimu kumalizika.
Hii imekuwa tofauti na ligi ya Ufaransa ambayo ni bora pia lakini inaingiza timu 2 tu moja kwa moja, timu 1 inaingia kwa kupitia kucheza qualification.
Timu zingine kutoka mataifa mengine lazima zicheze qualification hata kama imebeba ndoo kwenye timu yao ndio iweze kuingia UCL.
Ni kanuni zipi zinazibeba ligi za Uingereza, Ujerumani, Uitaliano na Uhisapania katika kufuzu UCL?
Kutokana na umaarufu huo wa hizo ligi, kukawepo ligi kubwa inayoshindanisha vilabu mbalimbali katika nchi zao barani Ulaya ambao wanaiita Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya (UEFA Champion League).
Katika kushiriki hiyo ligi (UCL) timu lazima ifanye vizuri katika ligi yake ya nyumbani ndio iweze kufuzu kucheza UCL.
Kati ya ligi 5 bora, ligi 4 tu kutoka Uingereza, Uhisapania, Uitaliano na Ujerumani ndizo zinazoingiza timu 4 moja kwa moja kwenye UCL ambapo hizo timu lazima ziwe top 4 kwenye ligi zao baada ya msimu kumalizika.
Hii imekuwa tofauti na ligi ya Ufaransa ambayo ni bora pia lakini inaingiza timu 2 tu moja kwa moja, timu 1 inaingia kwa kupitia kucheza qualification.
Timu zingine kutoka mataifa mengine lazima zicheze qualification hata kama imebeba ndoo kwenye timu yao ndio iweze kuingia UCL.
Ni kanuni zipi zinazibeba ligi za Uingereza, Ujerumani, Uitaliano na Uhisapania katika kufuzu UCL?