benny gilbert
Senior Member
- Jul 4, 2018
- 110
- 65
Mbongo aache udaku insta akanunue kitabu cha Dr. Shigongo? Jamaa aliuzaga ile Street University ndo ikaishia haposiku hizi kila kitu kiko kiganjani inabidi azame zaidi ili auze hizo story
Mnde
Mbongo aache udaku insta akanunue kitabu cha Dr. Shigongo? Jamaa aliuzaga ile Street University ndo ikaishia hapo
Mlima wa joto during Kisulisuli festivalmh! kumbe yule jamaa ni doctor,ameupata lini???
Death is my rightVitabu alivyotoa mpaka sasa1.
1. Damu na machozi
2. Rais anampenda mke wangu
3. Siku ya mwisho ya uhai wangu
4. Kifo ni haki yangu
nasikia alipiga bilion 3.5Death is my right
The president loves my wife
Nadhani hapo aliuza nakala nyingi zilizo muingizia pesa sana