N nyumbamungu JF-Expert Member Joined Mar 3, 2017 Posts 1,033 Reaction score 895 Mar 4, 2020 #1 Wenye kuelewa, kwanini FIFA linaitwa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani, wakati IOC Inatambuliwa kama Kamati ya Olimpiki Duniani?
Wenye kuelewa, kwanini FIFA linaitwa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani, wakati IOC Inatambuliwa kama Kamati ya Olimpiki Duniani?
RRONDO JF-Expert Member Joined Jan 3, 2010 Posts 55,727 Reaction score 123,094 Mar 4, 2020 #2 nyumbamungu said: Wenye kuelewa, kwanini FIFA linaitwa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani, wakati IOC Inatambuliwa kama Kamati ya Olimpiki Duniani? Click to expand... Shirikisho la vyama mpira duniani. Kamati ya olimpiki duniani. FIFA inaundwa na vyama vya mpira duniani, IOC ni kamati ya mashindani ya olimpiki tu. Michezo yote kwenye olimpiki iko chini ya vyama vyake mfano Soka (FIFA)
nyumbamungu said: Wenye kuelewa, kwanini FIFA linaitwa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani, wakati IOC Inatambuliwa kama Kamati ya Olimpiki Duniani? Click to expand... Shirikisho la vyama mpira duniani. Kamati ya olimpiki duniani. FIFA inaundwa na vyama vya mpira duniani, IOC ni kamati ya mashindani ya olimpiki tu. Michezo yote kwenye olimpiki iko chini ya vyama vyake mfano Soka (FIFA)