Kwanini France, Italy, Uingereza na nchi nyingine 12 zimetangaza zuio la kupokea wakimbizi kutoka Syria?

Kwanini France, Italy, Uingereza na nchi nyingine 12 zimetangaza zuio la kupokea wakimbizi kutoka Syria?

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Mara baada ya Assad kupinduliwa na kukimbia nchi yake kwenda Urusi huku vikundi vya waasi vikiwa vimechukua mambo yameanza kubadilika kwa wana-Syria duniani kote.

Hivi karibuni nchi nyingi za Ulaya zimetangaza kuacha kupokea wakimbizi kutoka Syria.

Nchi hizo ni pamoja na Germany, France Italy, UK, NetherlandS, Belgium, AustriA, Sweden, Finland, Denmark, Norway, Czechia, Switzerland, Croatia na Greece.

Kwanini nchi hizi zimegoma kupokea wakimbizi kutoka Syria baada ya Assad kukimbia nchi?

iaa.png


Ni wanaogopa Muslim extremists kuingia kwenye nchi zao?

Wanaona hakuna haja ya kupokea wakimbizi kwa sababu Assad ameondoka

Au hii imekaaje?
 
Wakipokelewa baada ya muda wanaanza fujo,kuingiza Imani na taratibu zao Kwa watu nk. Hayo mambo yapo clear na yanatokea wakati huu.

Ukiingia Kwa watu umeastiriwa dhisdi ya vita, wanakupa chakula,makazi unapata kibarua, unaingiza shilingi unalea familia yako amani Kwa sana.unaamza kujisahau unaanza kuleta mambo ya kwenu ya ajabu ajabu. Nani atakukaribisha Tena kwake?
 
Hivi kwanini nchi za kiislam zisijitoe mstari wa mbele kupokea wenzao?
UAE haiwezi kuwapokea?
Kwanini
Wao wanazaana sana na hawahitaji wakimbizi kuja kujaza nchi yao
Badala yake ni nchi nyingi hazitaki wakimbizi bali wana mchango wao wa fedha Umoja wa mataifa na hiyo ndio sababu
Sisi hatupokei wala kuchangia na wakiingia wasomali na wahabeshi tunawapiga mapicha wakiwa wamekaa chini kama maharamia na sio watu wenye uhitaji
Tubadilike na sisi kwanza
 
Wanajua kinachoendelea huko
Upande wa Turkey wapo wapinzani wa Assad na walioshika nchi ni wengine pia kuna kundi lingine la tatu
Sasa wote hao wanataka madaraka
Je wataelewana? Hili ndio wanalojua kuwa wengi watakuwa wakimbizi tena kukinuka
Kuna taifa moja limesema litawaondoa Syrians wote na kuwarudisha kwao
 
Wanachoogopa ni udini wao wa kiislam, once ukiwakaribisha waislam huwa hawana shukrani. Kuna siku wataona hiyo ni nchi yao na wataanza kudai haki ya kuendesha dini yao kufuata sharia za kiislam. Haawachi vurugu katika nchi ya kigeni. Waende kwenye nchi za waislam wenzao mbona zipo nyingi tu, au wakimbilie urusi kwa putin
 
Wakuu,

Mara baada ya Assad kupinduliwa na kukimbia nchi yake kwenda Urusi huku vikundi vya waasi vikiwa vimechukua mambo yameanza kubadilika kwa wana-Syria duniani kote

Hivi karibuni nchi nyingi za Ulaya zimetangaza kuacha kupokea wakimbizi kutokA Syria.

Nchi hizo ni pamoja na Germany, France Italy, UK, NetherlandS, Belgium, AustriA, Sweden, Finland, Denmark, Norway, Czechia, Switzerland, Croatia na Greece.

Kwanini nchi hizi zimegoma kupokea wakimbizi kutoka Syria baada ya Assad kukimbia nchi?

View attachment 3173597

Ni wanaogopa Muslim extremists kuingia kwenye nchi zao?

Wanaona hakuna haja ya kupokea wakimbizi kwa sababu Assad ameondoka
Au hii imekaaje?
wana element pure za kigaidi na wanaichukia mno Israel.

Sasa unadhani huyo raia wa Syria akimuona au akikutana na Raia wa Israel itakuaje hapo Ufaransa, Sweden au Germany?

si ataenda kujifunga mabomu na kwenda kumlipua huyo au hao wa Israel na athari kubwa zaidi itakua kwa nchi iliotoa hifadhi?

hicho ndicho haswa wanakwepa 🐒
 
Wakuu,

Mara baada ya Assad kupinduliwa na kukimbia nchi yake kwenda Urusi huku vikundi vya waasi vikiwa vimechukua mambo yameanza kubadilika kwa wana-Syria duniani kote

Hivi karibuni nchi nyingi za Ulaya zimetangaza kuacha kupokea wakimbizi kutokA Syria.

Nchi hizo ni pamoja na Germany, France Italy, UK, NetherlandS, Belgium, AustriA, Sweden, Finland, Denmark, Norway, Czechia, Switzerland, Croatia na Greece.

Kwanini nchi hizi zimegoma kupokea wakimbizi kutoka Syria baada ya Assad kukimbia nchi?

View attachment 3173597

Ni wanaogopa Muslim extremists kuingia kwenye nchi zao?

Wanaona hakuna haja ya kupokea wakimbizi kwa sababu Assad ameondoka
Au hii imekaaje?
Poland huwa hawahangaiki kutangaza. Msimamo wao walishauweka na kuuandika kwa moto kwamba kama nchini kwako kuna vita nenda nchi jirani na nchi yako ambayo haina vita, ukienda kwao hawakupokei.
 
Wakuu,

Mara baada ya Assad kupinduliwa na kukimbia nchi yake kwenda Urusi huku vikundi vya waasi vikiwa vimechukua mambo yameanza kubadilika kwa wana-Syria duniani kote

Hivi karibuni nchi nyingi za Ulaya zimetangaza kuacha kupokea wakimbizi kutokA Syria.

Nchi hizo ni pamoja na Germany, France Italy, UK, NetherlandS, Belgium, AustriA, Sweden, Finland, Denmark, Norway, Czechia, Switzerland, Croatia na Greece.

Kwanini nchi hizi zimegoma kupokea wakimbizi kutoka Syria baada ya Assad kukimbia nchi?

View attachment 3173597

Ni wanaogopa Muslim extremists kuingia kwenye nchi zao?

Wanaona hakuna haja ya kupokea wakimbizi kwa sababu Assad ameondoka
Au hii imekaaje?
Yule jamaa alieshirikiana na western kumuweka madarakani aliambiwa usiwe mtu wa vita kwakua yupo upande wa western hivyo hakuna haja kwakua Mali za nchi itakua Mali ya western wakiitaka,jamaa unafikiri pekeyake angeweza mtoe Bashiri bila usaidizi wa hizo nchi,it’s impossible,jamaa chawa wa western huyo
 
Miongoni mwa nchi zinazowakataa mbona zinaleta unafiki? Tayari zilishajaza waislam iweje ziwakatae waislam wa syria?
 
Ni kawaida maana waliekuwa wanamkimbia hayupo tena.Sababu ya kukimbia ilikuwa Balshar Al Assad anawaua.Sasa hayupo hivyo warudi kwao.
 
Nchi kama france na germany zinakataa nini kuwapokea waislam wa syria wakati zimejaza waislam wa kumwaga mpaka wanawapa shida kwa vurugu zao za kudai mambo ya kiislam yafanyike huko walikokaribishwa na wanajuta kuwapokea. Wawakubali tu ili wapate wafanyakazi wengi kwenye viwanda vyao uchumi wa nchi zao ukue. Wanaogopa mvua wakati maji wanayanywa na kuogea
 
Back
Top Bottom