Kwanini gari za Kia Sportage zinatengenezwa Korea kuwa na bei ndogo kuliko Team Toyota

Kwanini gari za Kia Sportage zinatengenezwa Korea kuwa na bei ndogo kuliko Team Toyota

KINGSLEE

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2013
Posts
830
Reaction score
1,046
Wadau habar zenu,

Naomba kujuwa ni kwanini gari za KIA SPORTAGE zinatengenezwa Korea kuwa na bei ndogo kuliko Team Toyota.

Hizi Kia Sportage zinaComfortable nzuri tuu hata baadhi ya Toyota with the same Class hazizikutii kwa Ubora.

Mfano hii ipo Comfortable, Luxury, ina high Stability with Airbag za kutosha na imewekwa engine ya Diesel, but price yake ipo chini.

Mwenye elimu atusaidie.


Screenshot_20210927-115122.jpg
Screenshot_20210927-115040.jpg
Screenshot_20210927-115149.jpg
 
Wadau habar zenu,

Naomba kujuwa ni kwanini gari za KIA SPORTAGE zinatengenezwa Korea kuwa na bei ndogo kuliko Team Toyota.

Hizi Kia Sportage zinaComfortable nzuri tuu hata baadhi ya Toyota with the same Class hazizikutii kwa Ubora.

Mfano hii ipo Comfortable, Luxury, ina high Stability with Airbag za kutosha na imewekwa engine ya Diesel, but price yake ipo chini.

Mwenye elimu atusaidie.


View attachment 1954544View attachment 1954545View attachment 1954546
Tatizo kia ushuru mkubwa sana. Hiyo inataka 23m hivi ushuru tu. Binafsi napenda kia grand carnival
 
Back
Top Bottom