Gazeti la rai katika toleo lake la leo limeendelea kuandika habari zinazomhusisha mgombea wa chadema katika nafasi ya urais (dk slaa) na maaskofu.
Eti sasa wanadai wabunge waislamu wa chadema walimsusia dk slaa kwenye mikutano yake baada ya kuchukua fomu. Habari hii ya kutungwa ni ya hatari sana kwani inaweza kuchochea uhasama wa kidini na kulitumbukiza taifa letu kwenye machafuko.
Gazeti hili linaloendelea kupoteza umaarufu kwa kasi kubwa linamilikiwa na mtu anayesadikiwa kuwa ni raia wa iran aitwaye rostam aziz. Huyu hana uchungu na nchi hii kwani anajua sio nchi yake, hivyo hata yakitokea machafuko atakimbilia kwao.
Ni matumaini yangu kuwa waziri wa habari, afande mkuchika ameliona hili na atachukua hatua za haraka kulifungia gazeti hili haraka. Tunasubiri.
Eti sasa wanadai wabunge waislamu wa chadema walimsusia dk slaa kwenye mikutano yake baada ya kuchukua fomu. Habari hii ya kutungwa ni ya hatari sana kwani inaweza kuchochea uhasama wa kidini na kulitumbukiza taifa letu kwenye machafuko.
Gazeti hili linaloendelea kupoteza umaarufu kwa kasi kubwa linamilikiwa na mtu anayesadikiwa kuwa ni raia wa iran aitwaye rostam aziz. Huyu hana uchungu na nchi hii kwani anajua sio nchi yake, hivyo hata yakitokea machafuko atakimbilia kwao.
Ni matumaini yangu kuwa waziri wa habari, afande mkuchika ameliona hili na atachukua hatua za haraka kulifungia gazeti hili haraka. Tunasubiri.
