😂😂😂😂😂Nimecheka kama fala.Ukiona hivyo umeanza kuelewa burudani ni nini na kelele ni nini, nyimbo zetu hizo vijana wastaarab, Picha hii nikiwa na miaka 7 baba yangu na rafiki zake wakiwa wanaokoa sanduku la maiti lisichukuliwe na maji mtoni wakati huo baba kaniachia radio cassette yake nchi kavu nasikiliza ngoma za wenge bcbg kina ferre gola na wenzie.View attachment 2863568
Kama kweli unapenda Ngoma za kicongo tafuta zile zenyewe Acha hizo za kisasa... Tembea na Ngoma za kina Franco, papa wemba, Koffi Olomide, Madilu system Pepe Kale...View attachment 2863562
pichani ni ngoma kali nilizozisikiliza zaidi 2023.
Katika miaka ya hivi karibuni, nimekuwa shabiki mkubwa wa muziki wa Kikongo, haswa kazi za Ferre Gola na Fally Ipupa. Walakini, hivi karibuni nimegundua kuwa nimevutwa na muziki wa Kifaransa. Sijui ni nini kuhusu aina hii ya muziki ambayo imenivutia moyo wangu, lakini niko tayari kuijifunza zaidi.
Ningependa kusikia kutoka kwa wengine wapenzi wa muziki ambao pia wamegundua uzuri wa muziki wa Kifaransa. Ni wasanii na nyimbo zipi unazopenda? Ni nini kuhusu aina hii ya muziki ambayo inazungumza nawe?
Natarajia kusikia kutoka kwenu wote!
Ongeza hapoKama kweli unapenda Ngoma za kicongo tafuta zile zenyewe Acha hizo za kisasa... Tembea na Ngoma za kina Franco, papa wemba, Koffi Olomide, Madilu system Pepe Kale...
Tafuta haya mapini
Madilu system - Ya Jean
Franco - Kimpakisangameni
Koffi Olomide - Loi
Kama kweli unapenda Ngoma za kicongo tafuta zile zenyewe Acha hizo za kisasa... Tembea na Ngoma za kina Franco, papa wemba, Koffi Olomide, Madilu system Pepe Kale...
Tafuta haya mapini
Madilu system - Ya Jean
Franco - Kimpakisangameni
Koffi Olomide - Loi
Tatizo lenu mkiambiwa ukweli mnaleta dharauUnaliwa na mashetani wewe
Sikiliza buruda wewe utakuja kunishukuruView attachment 2863562
pichani ni ngoma kali nilizozisikiliza zaidi 2023.
Katika miaka ya hivi karibuni, nimekuwa shabiki mkubwa wa muziki wa Kikongo, haswa kazi za Ferre Gola na Fally Ipupa. Walakini, hivi karibuni nimegundua kuwa nimevutwa na muziki wa Kilingala. Sijui ni nini kuhusu aina hii ya muziki ambayo imenivutia moyo wangu, lakini niko tayari kuijifunza zaidi.
Ningependa kusikia kutoka kwa wengine wapenzi wa muziki ambao pia wamegundua uzuri wa muziki wa Kilingala. Ni wasanii na nyimbo zipi unazopenda? Ni nini kuhusu aina hii ya muziki ambayo inazungumza nawe?
Natarajia kusikia kutoka kwenu wote!
Hiyo Ngoma ya associè ni kipengeleKwenye hiyo list number sita ngoma imetulia sana""associe na ngaii,sijui Nini na Nini niniiii wewe weeee!
Sema Franco ndo legend aisee jamaa alikua anaimba Hadi Rais Mobutu anabaki Tu kukenua....Hizi Rhumba za madilu ni noma na nusu , Sensa ya papier na ya jean ni rhumba kali sana . Zamani nilikuwa simuelewi huyu mzee , huyu alikuwa new version ya franco
Tushuke tupande Afsana!Kwenye list ya Fally ongezea nyimbo iitwayo AFsana...humo ndani kuna maneno ya lugha ya kiswahili.
Mi nakupenda sana Afsana...Tushuke tupande Afsana!
Unyama ni mwingi sana, Fally mtu mbad!Mi nakupenda sana Afsana...