Kiherehere Cha goalkeeper kilimpa Advantage salaah ....haiwez kuwa offside coz goalkeeper alikuwa ametoka kwenye box lake hivo Basi alihesabika Kama mchezaji na sio goalkeeper Tena
Kama angekuwa ndan ya box lake (18") ilikuwa offside.
Bianconeri
Actually game la Jana lilikuwa interesting sana kwetu sisi wafuatiliaj wa game watu wengi waliamini game ya Jana ilkuwa suluhu=sare but kukosekana kwa ✓Rashford kulifanya Liverpool kuwa na 60% ya kishinda dhidi ya man utd ....
Kama mlifuatilia game la Burnley na Leicester city the game else was tough than though .....vijana Wana mapafu aisee wanavuta upepo mkubwa wa kukimbiza ......
vijana niliokuwa nmekaa nao wakawa wanaulza huku ndko atakuja kucheza MBWANA SAMATA? Jibu langu kwao lilkuwa ndio huku EPL nomanoma but ataitoa Villa mkiani hata smith anaamini hvo kwan samatta ni kiungo mfungaji mzuri. Japo kazi ipo kule EPL
BURNLEY Jana alkuwa anacheza kana kwamba wameacha gari nje ya geti na driver anawapigia horn kwamba harakisheni ntaondoka aisee