kwanini hadi sasa Tanzania hatuna Mabilionea kwenye ngazi za Teknolojia mambo ya TEHAMA?

kwanini hadi sasa Tanzania hatuna Mabilionea kwenye ngazi za Teknolojia mambo ya TEHAMA?

wastani kwa idadi

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2024
Posts
503
Reaction score
1,432
Ndio sekta inayotoa mabilionea wengi hasa vijana lakini naona kwa hapa bongo ni kama hawapo kabisa, gadi sasa kuna mabilionea walewale wa maduka ya hardware, makampuni ya utalii, mahoteli, madini, n.k. mabilionea wa mambo ya IT hakuna?

Najua yupo Fernandez anakuja kwa spidi na apewe maua yake lakini huyu ana asili ya Asia kama kina Mo na kwao tayari ni mabilionea, Tuwazungumzie zaidi watanzania wa asili.
 
Tanzania ya leo ni kama Uingereza ya miaka ya 1700s.. si unaona ndiyo tunapambana kujenga viwanda na dini imekolea.

Tofauti ni chache..
 
Waliofanikiwa sana sana utawakuta hawa wezi wa misaada inayotoka mashirika ya teknolojia ya ulaya na marekani kusaidia tech hubs za hapa kweti, Google au Microsoft wanaweza kusaidia labda dola elf 20 (milioni 50) zifikie vijana wafanye projects, zinaishia mifukoni mwa wachache wanaenda kununua iphones, kununua crown, n.k.
 
Ndio sekta inayotoa mabilionea wengi hasa vijana lakini naona kwa hapa bongo ni kama hawapo kabisa, gadi sasa kuna mabilionea walewale wa maduka ya hardware, makampuni ya utalii, mahoteli, madini, n.k. mabilionea wa mambo ya IT hakuna ??
Benjamin Fernández si huyo hapo anatuwakilisha vyema na startup yake ya Nala, uko hapa JF coz ya Max so huyo hapo Max ingawa sijui net worth yake but am sure yuko vizuri... maswala ya technology ni mambo mapya hapa duniani hasa upande huo wa IT uliousema ndio maana ukirudi miaka 20 nyuma haukutani na hizi social media unazoziona leo so tuendelee kupambana am sure nasisi tutafika.
 
Ndio sekta inayotoa mabilionea wengi hasa vijana lakini naona kwa hapa bongo ni kama hawapo kabisa, gadi sasa kuna mabilionea walewale wa maduka ya hardware, makampuni ya utalii, mahoteli, madini, n.k. mabilionea wa mambo ya IT hakuna ??
Maxence Melo sitaki kuamini kwamba hadi Leo huna hata tubilioni tuwili. Kama huna nakiazima kamoja kakae tu kwenye account yako kwa wiki moja, kakisafishie nyota
 
Jiulize kwanza statistically, ni wa Tanzania wangapi wanamiliki smartphone according to sensa au njoo kwenye matumizi ya hizo smartphone kwa waTanzania wengi ni yapi?

Kabla hatujaenda broadly kwenye usage ya other IT services, anzia kujijibu hapo ndo utaelewa.
 
Max Mello kama ana hata milioni 200 bank mniite mbwa,tatizo sio yeye bali wabongo JF haikutakiwa kuwa free,Members tungekuwa tunalipia 1000 kwa mwezi,sasa piga 1000*1000000=100,000,000
Kwa mwaka ni bilioni 1
Ila mko tayari kulipia umbea wa mange kimambi..
Yule mpenzi wa zamani wa Kanye west alitengeneza emoj zenye sura yake unalipia,ndabi ya wiki mbili tu katengeneza kama bilioni 10 za kitanzania
 
Max Mello kama ana hata milioni 200 bank mniite mbwa,tatizo sio yeye bali wabongo JF haikutakiwa kuwa free,Members tungekuwa tunalipia 1000 kwa mwezi,sasa piga 1000*1000000=100,000,000...
Dharau
 
Ndio sekta inayotoa mabilionea wengi hasa vijana lakini naona kwa hapa bongo ni kama hawapo kabisa, gadi sasa kuna mabilionea walewale wa maduka ya hardware, makampuni ya utalii, mahoteli, madini, n.k. mabilionea wa mambo ya IT hakuna?
Ben Fernandez ni suala la muda tu kuwa bilionea kutokana na tech
 
its because hatutengenezi huduma za kitech zenye ushindan, tuseme tu IT kwa bongo bado inakua maaana kila mtu analilia kutengeneza management systems
 
Max Mello kama ana hata milioni 200 bank mniite mbwa,tatizo sio yeye bali wabongo JF haikutakiwa kuwa free,Members tungekuwa tunalipia 1000 kwa mwezi,sasa piga 1000*1000000=100,000,000
Kwa mwaka ni bilioni 1
Ila mko tayari kulipia umbea wa mange kimambi..
Yule mpenzi wa zamani wa Kanye west alitengeneza emoj zenye sura yake unalipia,ndabi ya wiki mbili tu katengeneza kama bilioni 10 za kitanzania
Nikuelimishe kwamba Jamii forums inaandaa mashindano kila mwaka ya stories of change kinawekwa kitita cha milioni 50.

Mapato yapo, hasa kupitia matangazo na misaada ya balozi / mashirika ya nje zinazosapoti uhuru wa maoni.

Mwenye JF kusema hajafikisha milioni 200 ni dharau hizo, labda kwenye ubilionea huko
 
Technology inahitaji innovation, we're not good enough.
 
Ndio sekta inayotoa mabilionea wengi hasa vijana lakini naona kwa hapa bongo ni kama hawapo kabisa, gadi sasa kuna mabilionea walewale wa maduka ya hardware, makampuni ya utalii, mahoteli, madini, n.k. mabilionea wa mambo ya IT hakuna?

Najua yupo Fernandez anakuja kwa spidi na apewe maua yake lakini huyu ana asili ya Asia kama kina Mo na kwao tayari ni mabilionea, Tuwazungumzie zaidi watanzania wa asili.
😄😄😄😄😄😄😄😄Tatizo wabongo hatutaki kubadilika bado tunapenda kuishi kwa mifumo ya zamani.
Sasa mfano wewe umeanzisha Application yako au Platform/website ambayo kuianzisha umetumia gharama takribani milioni 15 au 20 halafu unaanza kuioperate kwa muda wa mwezi mzima unapata 1 view inakatisha tamaa sana.
Halafu hata serikali yenyewe haiko serious kuhusiana na mambo ya IT.
Utakuta kwa mfano taasisi ya serikali wameandaa miundombinu ya IT ambayo inawawezesha kutunza soft copies lakini bado wanataka uende na makaratasi.
Labda upate bahati uwe unatengeneza apps/programs kisha unaziuza kwenye makampuni wenye uhitaji nayo sasa sijajua kwa Bongo kama zipo kampuni zinakuwa interested kununua programs kwa pesa nyingi.
 
Back
Top Bottom