Kwanini hakuna media yoyote iliyoripoti maandamano Pemba kupinga ujenzi wa Kanisa?

Kwanini hakuna media yoyote iliyoripoti maandamano Pemba kupinga ujenzi wa Kanisa?

Gulwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2008
Posts
10,597
Reaction score
16,394
Mpaka sasa hakuna chombo cha habari kilichoandika au kutanga za maandamano ya wapemba kupinga ujenzi wa kanisa. Hakuna kiongozi yeyote wa kiserikali au wa kisiasa anayeliongelea. Inaweza kuwa ni kwa vile rais ni Mzanzibari?
 
Mpaka sasa hakuna chombo cha habari kilichoandika au kutanga za maandamano ya wapemba kupinga ujenzi wa kanisa. Hakuna kiongozi yeyote wa kiserikali au wa kisiasa anayeliongelea. Inaweza kuwa ni kwa vile rais ni Mzanzibari?
1. Kwani uliona wapi mpinga dini X akiuwawa kisha uongozi wake ulitoa tamko la kulaani hayo mauaji popote duniani?

2. Kwanini umchukie Binadamu unayeonana naye ana kwa ana na kumpenda mungu asiyeonekana kisa utetezi wa dini X?

3. Kwanini kila siku uhusishwaji wa mauaji ya kidini uwe wa dini hiyo hiyo X wala si zingine?

4. Mwenye macho haambiwi ona, wala mwenye masikio haambiwi sikia kujua dini X ni ya kishetani.
 
Back
Top Bottom