Kwanini hakuna mkesha wa Kitaifa wa Christmas mwaka huu?

Kwanini hakuna mkesha wa Kitaifa wa Christmas mwaka huu?

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Hakuna tamasha Wala mkesha mkuu wa Christmas mwaka huu. Je, umezuiwa au utengamano wa waandaji umetingishwa?

Kesho ni Chrissmas, Misa kuu Kitaifa itakuwa na kiongozi wa Kitaifa au ndo tutasali kimya kimya?
 
Kwani katiba inasemaje kuhusu ilo? Tuanzie hapo kwanza
 
Ibada ya Krismas kitaifa inafanyika Kanisa Katoliki St Joseph.

Mkesha wa kitaifa ulifanyika KKKT Mbezi beach.
 
Back
Top Bottom