KWANINI HAKUNA MTANZANIA ALIE WEZA MILIKI GARI

Yuda Legacy

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2023
Posts
778
Reaction score
2,764
KWANINI HAKUNA MTANZANIA ALIE WEZA MILIKI GARI HII


Licha ya Tanzania kuwa na watu matajiri Lakini kwanini mpaka sasa sijaona mtanzania yoyote alie weza kumiliki gari hii je kuna shida gani

Aina ya Gari :- LAMBORGHINI URUS ni luxury SUV car ambayo kwa ardhi yetu ya kibongo na ilivyo juu naona haiwezi sumbua je shida nini wakuu tunashindwa vuta chuma hii

Hata sisi tuwaoneshe wazungu tunaweza miliki vyuma vyao shida ipo wapi wakuu [emoji17][emoji17]

 

Mchawi Tochi, TRA, Mafundi Vishoka, Babara ya matuta ya viazi na Vipuri.
 
Aisee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…