Kwanini hakuna Tusker Lager Southern Highlands?

Kwanini hakuna Tusker Lager Southern Highlands?

Tusker Bariiiidi

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2007
Posts
5,551
Reaction score
2,153
Habari Wana JF,nipo kanda ya nyanda za juu kusini yaani Iringa,Mbeya,Ruvuma na Rukwa. Nimeskitishwa na kutokuwepo kwa bia laini na tamu TUSKER LAGER,na nimejaribu kuuliza kwa wamiliki wa baa na Pub mbalimbali wakiwemo watu wa mauzo wa TBL kwanini Precious water hamna na kupata majibu yasiyoridhisha.
 
Habari Wana JF,nipo kanda ya nyanda za juu kusini yaani Iringa,Mbeya,Ruvuma na Rukwa. Nimeskitishwa na kutokuwepo kwa bia laini na tamu TUSKER LAGER,na nimejaribu kuuliza kwa wamiliki wa baa na Pub mbalimbali wakiwemo watu wa mauzo wa TBL kwanini Precious water hamna na kupata majibu yasiyoridhisha.

Uko sehemu gani mbona Mbeya zipo na hata Iringa zimejaa bwerere. Kwa maelekezo zaidi unaweza kuniPM ili nikuelekeze baa
 
Ha!ha!ha!ha! mkuu huko hizo lazima ziwe adimu.....kuna baridi sana so wanapenda sana Safari, Ze bingwa na pombe kali mkuu.....! pole!
 
Chiefm Tz nipo Mbeya kwa sasa... Nipo Karembu Bar nanywa Kili ya kopo... Kwa shida. Nimeenda Mbeya Hotel,Savoy (Mafiat),Mbeya Paradise,Classic Pub,2000 Pub hata Mkapa Hall pia...
 
Back
Top Bottom