The Transporter
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 3,580
- 7,203
Habari zenu wapendwa,
Niende moja kwa moja kweli mada,
Leo tumeshuhudia kupatwa kwa jua ambalo ni tukio lakuvutui na kustaajabisha zaidi,
Bahati mbaya sina ufahama na haya mambo ningeomba nijulishwe,
Ikiwa dunia inalizunguka jua kwa siku 365 ili kumaliza mwaka, na yenyewe inajizungusha ili kupata usiku na mchana na mwezi kuzunguka dunia,
Naamini huu mzunguko wa dunia ni wa kujirudia Kila mwaka haubadiriki, je iweje kupatwa kwa jua au kupatwa kwa mwezi kuwe kunatokea Kila baada ya miaka kadha?
Kwanini isiwe Kila mwaka hali hiyo inatokea maana mzunguko ni ule ile?
Kwa wenyewe uelewa zaidi naombeni kufahamu
Niende moja kwa moja kweli mada,
Leo tumeshuhudia kupatwa kwa jua ambalo ni tukio lakuvutui na kustaajabisha zaidi,
Bahati mbaya sina ufahama na haya mambo ningeomba nijulishwe,
Ikiwa dunia inalizunguka jua kwa siku 365 ili kumaliza mwaka, na yenyewe inajizungusha ili kupata usiku na mchana na mwezi kuzunguka dunia,
Naamini huu mzunguko wa dunia ni wa kujirudia Kila mwaka haubadiriki, je iweje kupatwa kwa jua au kupatwa kwa mwezi kuwe kunatokea Kila baada ya miaka kadha?
Kwanini isiwe Kila mwaka hali hiyo inatokea maana mzunguko ni ule ile?
Kwa wenyewe uelewa zaidi naombeni kufahamu