Kwanini hamna barabara ya Obote hapa Tanzania?

Kwanini hamna barabara ya Obote hapa Tanzania?

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Ukipita Tanzania unakutana na barabara na mitaa zikiwa na majina ya magwiji kibao wa Afrika. Si nadra kukuta majina kama Kenyatta rd, Rwagasore, Mandela, Azikiwe, Nyerere, Nkurumah nk .

Kitu cha ajabu ni kwanini ndugu yetu Milton Obote,mtoto wa mlango wa pili hapo nyuma tu, rafiki wa Mwalimu, mwanamajumuni wa kiafrika hajapewa jina la mtaa wala barabara kama wadau wengine kutoka mbali kama India kupewa mitaa .
 
Ukipita Tanzania unakutana na barabara na mitaa zikiwa na majina ya magwiji kibao wa Afrika. Si nadra kukuta majina kama Kenyatta rd, Rwagasore, Mandela, Azikiwe, Nyerere, Nkurumah nk .
Kitu cha ajabu ni kwanini ndugu yetu Milton Obote,mtoto wa mlango wa pili hapo nyuma tu, rafiki wa Mwalimu, mwanamajumuni wa kiafrika hajapewa jina la mtaa wala barabara kama wadau wengine kutoka mbali kama India kupewa mitaa .
Obote alipopinduliwa tulimuhifadhi,na tukapambana mpaka akarudi tena madarakani
Cha kusikitisha ni kwamba kwa muda mfupi aliya watu wengi sana kuli hata nduli,kiasi cha kuipakaza damu nchi yetu
Huwezi kuupa mtaa jina la muuaji kama Obote
 
Obote alipopinduliwa tulimuhifadhi,na tukapambana mpaka akarudi tena madarakani
Cha kusikitisha ni kwamba kwa muda mfupi aliya watu wengi sana kuli hata nduli,kiasi cha kuipakaza damu nchi yetu
Huwezi kuupa mtaa jina la muuaji kama Obote
Ni kweli,jamaa alikuwa wa hovyo Sana,tofauti yake na na Idd Amin ni kwamba hakushambulia nchi yetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Obote alipopinduliwa tulimuhifadhi,na tukapambana mpaka akarudi tena madarakani
Cha kusikitisha ni kwamba kwa muda mfupi aliya watu wengi sana kuli hata nduli,kiasi cha kuipakaza damu nchi yetu
Huwezi kuupa mtaa jina la muuaji kama Obote
Pia itakuwa ni upumbavu zaidi kuupa mtaa jina la Obote kwa kuwa itatukumbusha matrilioni tuliyochoma kumrudisha rafiki wa mtu mmoja madarakani, ni kati ya maamuzi ya kijinga yaliyoitia nchi umasikini mpaka leo,na bado huyo rafiki waganda wakamkataa

Urafiki unaigharimu nchi!!!!! Baada ya vita nchi ikafilisika,mpaka leo iko shimoni
 
Mambo ni 🔥🔥🔥 huyu jamaa si nasikia ndio aliongoza mapinduzi ya Zanzibar, kwanini hatajwi kwenye vitabu vyetu vya historian?
 
Mambo ni [emoji91][emoji91][emoji91] huyu jamaa si nasikia ndio aliongoza mapinduzi ya Zanzibar, kwanini hatajwi kwenye vitabu vyetu vya historian?
Na pia ndie aliesadia kumuweka Trump madarakani, lakini nashangaa serikali ya Usa [emoji631] imeshindwa kumuenzi huyu mpambanaji wa vita vya yom kapur.
 
Obote huwa namsikia tu kuwa alikuwa mkimbizi hapa Tanzania. Lakini hana alama yoyote aliyoacha kwenye taifa lake na huenda wameshamsahau.

Huu uzi ndio umewakumbusha kuwa kuna raia wao anaitwa Obote.
 
Mambo ni [emoji91][emoji91][emoji91] huyu jamaa si nasikia ndio aliongoza mapinduzi ya Zanzibar, kwanini hatajwi kwenye vitabu vyetu vya historian?
Umechanganya Kuna Obote na Okello .
 
Back
Top Bottom