nyoyo zipi?Media zote zimekuwa zikipamba wasaf tu. Harmonize ni msanii pekee aliyebaki tanzania anayeimba mashahiri mazur na yanayokonga nyoyo.Β°
Mpk pale atakapo staafu na kunufaika vya kutosha!!Sasa atafanya Hadi lini Mkuu [emoji23]
nyonyo zake mzee alikosea kutype naonanyoyo zipi?
Waandishi wenu wafanye kazi kwa mizani sawa na sio kwa kufuata matumbo yao.So unadhani Nini kifanyike mkuu...Ili balance iwepo
Za kitu roho inapendanyoyo zipi?
Mashairi ya acha jua lizame ili ampelekee nandy mkonga ?Media zote zimekuwa zikipamba wasaf tu. Harmonize ni msanii pekee aliyebaki tanzania anayeimba mashahiri mazur na yanayokonga nyoyo.Β°
Watu mna maneno πππAlishindana na akina nani,akawashinda,je ni akina Drake,Jay Z au akina nani hasa?
Wanasema tu kashinda tuzo marekani ila hawasemi tuzo zipi ina maana na wenyewe wanaona aibu kutaja hizo tuzo.Nafikiri izo TUZO SIO MAARUFU SANA ILA KAMA ANGESHINDA ZA MTV EMA AU TRACE AU BET LAZIMA WANGEMPA AIRTIME
Kwani kuna msanii Tz hii anaongoza kwa kiki km yeye harmonize?Atengeneze Kiki zake, atafute chawa wake kama boss wake wa zamani!
Asiwe mbahili amwage pesa kwa wapambe π