Kwanini hatuondoki kwenye falsafa ya 'kipaji'?

Kwanini hatuondoki kwenye falsafa ya 'kipaji'?

Jacobus

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2011
Posts
4,703
Reaction score
1,724
Wengi ukiwauliza katika soka tunafuata falsafa gani, watakujibu 'hatuna'. Lakini kiukwei tunafuata falsafa ya KIPAJI, kwa maana kutegemea mchezaji anafikiria vipi akiwa na mpira. Hapa hatutoki na kwenda kwenye soka la kitabuni au uweledi 'profesional'. Yawezekana wajanja wananufaika na hali hii! Tofauti yetu na wenzetu walioendelea katika vipaumbele ni kama hivi:-Vipaumbele:-Sisi: 1. Kipaji. 2-Kamati ya ufundi na 3-Uweledi, japo hili hatuna.Wenzetu: 1-Uweledi. 2-Kipaji na 3-Kamati ya ufundi.Tunahitaji maamuzi magumu hapa.
 
Back
Top Bottom