Msukuma wa dar
JF-Expert Member
- Jul 14, 2016
- 1,160
- 1,195
Kifo cha mwanamasumbwi mwenzangu (Thomas Mashali) kimenisikitisha sana.
Inawezekana vipi kwa mtu mashuhuri kama yule kuuawa kikatili vile, tena kwa kupigwa kama nyoka, kwenye nchi yake, mkoa anaoishi, mitaa jirani?
Hii inajenga picha gani kwa sisi undergrounds? Kwamba Tanzania ili uthaminike basi ushindanie Umiss hata kama ni mwanaume, Ujiunge WCB, 'umdiss' Diamond kwa Mgongo wa TeamKiba au 'umdate' Binti Sepenga ndio jamii itaona mchango wako?
Bado kifo cha Mashali kinachukuliwa kama kifo cha mmoja wa nguvu kazi ya Panya Road, hakipewi uzito kabisa. Ndio Tanzania yetu hii.
Rest In Peace Jembe!
Inawezekana vipi kwa mtu mashuhuri kama yule kuuawa kikatili vile, tena kwa kupigwa kama nyoka, kwenye nchi yake, mkoa anaoishi, mitaa jirani?
Hii inajenga picha gani kwa sisi undergrounds? Kwamba Tanzania ili uthaminike basi ushindanie Umiss hata kama ni mwanaume, Ujiunge WCB, 'umdiss' Diamond kwa Mgongo wa TeamKiba au 'umdate' Binti Sepenga ndio jamii itaona mchango wako?
Bado kifo cha Mashali kinachukuliwa kama kifo cha mmoja wa nguvu kazi ya Panya Road, hakipewi uzito kabisa. Ndio Tanzania yetu hii.
Rest In Peace Jembe!