Msukuma wa dar
JF-Expert Member
- Jul 14, 2016
- 1,160
- 1,195
Aliwai kukuibia au unaleta story za vijiweni apa..Unataka celebrity kibaka mkabaji athaminiwe??
..hovyooo
Walimpigia kelele ya mwizi halafu alikuwa amelewa, nimeangalia 5sport ya EATV shuhuda anasema alimtetea mtu alipwe pesa yake kwa matibabu 20,000.kwa hiyo wakati jamaa wanambonda alishindwa kujitetea kwa ngumi zake kali?!
wanasemaga wanacheza ngumi kwa ajili ya self defence?
na hiyo wanasema ni mitaa yake sasa walishindwaje kumtambua mcheza ngumi Mashuhuri?!Walimpigia kelele ya mwizi halafu alikuwa amelewa, nimeangalia 5sport ya EATV shuhuda anasema alimtetea mtu alipwe pesa yake kwa matibabu 20,000.
Ngumi za mtaani hakuna refa, hakuna foul. Walitumia mawe na magongo
Hakua mtaan kwake,jamaa alizidi utembo,anaweza akapanda boda boda toka mbezi haadi mabibo kitaan kwake alaf halipi anaxema yy staffna hiyo wanasema ni mitaa yake sasa walishindwaje kumtambua mcheza ngumi Mashuhuri?!
Sifa halisi za MarehemuHakua mtaan kwake,jamaa alizidi utembo,anaweza akapanda boda boda toka mbezi haadi mabibo kitaan kwake alaf halipi anaxema yy staff
Mshahara wa dhambi ni mauti.
Ukiwa mwizi, utakufa ukiiba.
Ukiwa mgomvi utafia ugomvini na ukiwa mlevi utafia kwenye ulevi.
[emoji767][emoji768] Bujibuji
Samahani wafiwa, ila dah, kama hii ni kweli, jamaa alizidi utembo. Staff kwenye bodaboda yangu, tena mbezi to mabibo. Loh!!! Acha kabisa.Hakua mtaan kwake,jamaa alizidi utembo,anaweza akapanda boda boda toka mbezi haadi mabibo kitaan kwake alaf halipi anaxema yy staff