mmbangaya
JF-Expert Member
- Jan 16, 2015
- 997
- 1,765
Wana jukwaa salama!
Naomba tushare experience kidogo kwanini baadhi yetu hatujalala usingizi muda huu instead tupo humu Jf.
Kwa upande wangu ni msongo wa mawazo kwani kuna mambo yananiumiza kichwa. Asubuhi kabla ya saa nne natakiwa niwe na kiasi fulani cha pesa ila mpaka muda huu sijajua pa kuzipata. Na zikikosekana napata hasara kubwa sana
Naomba tushare experience kidogo kwanini baadhi yetu hatujalala usingizi muda huu instead tupo humu Jf.
Kwa upande wangu ni msongo wa mawazo kwani kuna mambo yananiumiza kichwa. Asubuhi kabla ya saa nne natakiwa niwe na kiasi fulani cha pesa ila mpaka muda huu sijajua pa kuzipata. Na zikikosekana napata hasara kubwa sana