Kwanini hautumii mtandao wa Facebook?

Kwanini hautumii mtandao wa Facebook?

MFALME WETU

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2021
Posts
4,071
Reaction score
10,028
Hello keyboard warriors,

Imekuwa kawaida sana kusikia kauli kama "Bado unatumia Facebook?" pale mtu anaposhika simu yako na kuikuta hiyo app.

Binafsi mtandao wangu pendwa wa muda wote ukitoa JamiiForums ni Facebook.

Kwanini wewe hutumii Facebook ilhali watu maarufu wote wanautumia na mnatuchukuliaje sisi tunautumia, na wale mnaotumia huo mtandao mnawachukuliaje ambao hawautumii?
 

Attachments

  • Screenshot_20230728-101341_One UI Home.jpg
    Screenshot_20230728-101341_One UI Home.jpg
    127.7 KB · Views: 11
Huo usemi kuwa "Bado unatumia Facebook" unaosema sema hivyo ushamba na ujinga ndio unawasumbua yaani mtu anataka asichopenda nawe usikipende.
Stumii Facebook, ila nimekupa like kwenye comment yako! Sio ujanja kutumia mtandao flani au kutotumia mtandao flani....hata jf mbona kuna watumiaji wake baadhi ni wajinga kuliko hata wa hiyo mitandao mingine ambayo baadhi wanaona ni ya kijinga!
 
Back
Top Bottom