MFALME WETU
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 4,071
- 10,028
Hello keyboard warriors,
Imekuwa kawaida sana kusikia kauli kama "Bado unatumia Facebook?" pale mtu anaposhika simu yako na kuikuta hiyo app.
Binafsi mtandao wangu pendwa wa muda wote ukitoa JamiiForums ni Facebook.
Kwanini wewe hutumii Facebook ilhali watu maarufu wote wanautumia na mnatuchukuliaje sisi tunautumia, na wale mnaotumia huo mtandao mnawachukuliaje ambao hawautumii?
Imekuwa kawaida sana kusikia kauli kama "Bado unatumia Facebook?" pale mtu anaposhika simu yako na kuikuta hiyo app.
Binafsi mtandao wangu pendwa wa muda wote ukitoa JamiiForums ni Facebook.
Kwanini wewe hutumii Facebook ilhali watu maarufu wote wanautumia na mnatuchukuliaje sisi tunautumia, na wale mnaotumia huo mtandao mnawachukuliaje ambao hawautumii?