Kwanini Hawa Makomandoo wa Mbowe wamefanywa kama Wanasesere?

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kwa nini JWTZ haiwatibu askari wake ambao fuse zimeungua badala yake inawatimua?

Vichaa hawaponi au ni gharama kubwa?
 
Kwa nini JWTZ haiwatibu askari wake ambao fuse zimeungua badala yake inawatimua?

Vichaa hawaponi au ni gharama kubwa?
Kama Si Mbowe wangekuwa wapi, Ukijiuliza unaumia
 
Mbweha za SSM znaumia sana walizan hawa mapoti watarudi kwao ...no..no..no aluta conti..
 
Wewe mshamba nakupa taarifa, kwenye maonesho ya saba saba kwenye banda la JWTZ kunakuwa na komando anayeweka pozi la kupiga picha tu na wananchi na wanabadilishana kila baada ya muda kuweka pozi hilo.

Sijaona cha ajabu hapo, huyo jamaa kaomba kupiga picha na Watu maarufu kwa sasa na kakubaliwa, au ulitaka waweke pozi kama wanapiga punyeto? Pumbaaavu
 
hao ni wagonjwa wa akili JWTZ drop out,waache kesho utawakuta wanacheza mdundiko mradi wamo tu we waache tu wanatafuta ugali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…