Siku moja nikapita maeneo karibu na kituo cha Police. Hiyo sehemu ya kituo kwa karibu kidogo kuna mama ntilie wanauza chai na chakula cha mchana.
Kufika pale yaani si unafahamu zile tabia za Polisi walivyo vituoni kama kujibu kwa zadhau, shurta, kujiskia sana wakiona uwanyenyekee.
Basi nikakuta kwa mama ntilie huyo, sikupenda kwa kweli.
Swali nililo muuliza :"Hivi wewe kuwa karibu na kituo cha Polisi unajiona kama Polisi vile. Je ukiwa karibu na makaburi utajiona kama nani"
Hii nchi inazidi tu kuwa ngumu siku hadi siku! Hebu tuambie basi hao mama ntilie wanapatikana karibu na kituo gani cha polisi ili tuje na sisi tushuhudie.Siku moja nikapita maeneo karibu na kituo cha Police. Hiyo sehemu ya kituo kwa karibu kidogo kuna mama ntilie wanauza chai na chakula cha mchana.
Kufika pale yaani si unafahamu zile tabia za Polisi walivyo vituoni kama kujibu kwa zadhau, shurta, kujiskia sana wakiona uwanyenyekee.
Basi nikakuta kwa mama ntilie huyo, sikupenda kwa kweli.
Swali nililomuuliza :"Hivi wewe kuwa karibu na kituo cha Polisi unajiona kama Polisi vile. Je, ukiwa karibu na makaburi utajiona kama nani".
Alikujibu nini kwenye ilo swali ulilomswalika?Siku moja nikapita maeneo karibu na kituo cha Police. Hiyo sehemu ya kituo kwa karibu kidogo kuna mama ntilie wanauza chai na chakula cha mchana.
Kufika pale yaani si unafahamu zile tabia za Polisi walivyo vituoni kama kujibu kwa zadhau, shurta, kujiskia sana wakiona uwanyenyekee.
Basi nikakuta kwa mama ntilie huyo, sikupenda kwa kweli.
Swali nililomuuliza :"Hivi wewe kuwa karibu na kituo cha Polisi unajiona kama Polisi vile. Je, ukiwa karibu na makaburi utajiona kama nani".