Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Swali hilo linanifanya nianze kufikiri na kuamini kwa uhakika kuwa hawa sio Polisi wa kawaida bali hiki kinachoendelea ni matumizi mabaya ya ile sheria inayowapa watu wa usalama wa Taifa (TISS) haki ya kukamata watu huku wakiwa na kinga maalumu.
Kama Polisi wapo, basi watakuwa wameshirikishwa tu ila wenye hiyo shughuli watskuwa ni watu wa TISS.
Hii sheria kuna siku itakuja kuwagharimu wahusika kwani ukamataji huu una sura ya ujambazi, hivyo wako hatarini kuja kushambuliwa na raia siku moja.
- Kuelekea 2025 - News Alert: - Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli
Kama Polisi wapo, basi watakuwa wameshirikishwa tu ila wenye hiyo shughuli watskuwa ni watu wa TISS.
Hii sheria kuna siku itakuja kuwagharimu wahusika kwani ukamataji huu una sura ya ujambazi, hivyo wako hatarini kuja kushambuliwa na raia siku moja.
- Kuelekea 2025 - News Alert: - Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli